white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,321
- 2,488
10yrs halaf darasa yupo la 10ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
10yrs halaf darasa yupo la 10ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Hili kosa litakugharimu mpaka uzeeniTuliotelekeza mimba haituhusu hii
Hata mimi nimegundua wengi wamekuwa waongo sana humuYani naona kila mwenye mtoto utaskia nimtundu mala anaakili sana mala mjanja mjamja mala nini naona sifatu inamaana nyie wenye watoto wote hakuna mwenye mtoto zoba anae lialia nakulamba kamasi mdawote anae pigwa nakila mtoto humu hakuna du!!! Ebu ongeeni ukweli wenu msifate mkumbo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hata mimi nimegundua wengi wamekuwa waongo sana humu
Wengine watoto wao wazembe Ila wanashindwa kusema tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wafananeMm mwanangu anamsumbua sna babaake, muda wa usiku akitaka kulala babaake anamvalisha pampers sasa hataki kuvaa anaangusha kilio anataka na babaake avae
Good lkn tuwe makini mwanga huo na macho cyo salamaaise watoto ni raha sana.uyu wakwangu mdogo mwenye mwaka 1na miezi 8 sitaki kabisa akue kwa vituko anavyonipa.yaani ningekua na uwezo wakuzuia ujuaji wake ningefanya ivyo kwa kweli.yeye katuni anaita kukuti na anakatuni yake moja anataka iyo iyo iwekwe siku nzima.ukibadilisha tu vi ugomvi.akishasema kukuti kuwe na umeme kusiwe yeye ilo hajui ata taarifa ya habari imekua shida kuangalia.ila sasa hivi nimemuweza,nimemtafutia mtumba wa laptop kupunguza kelele.
Huyo atakuja kuwa kiongozi wa migomo mingi huko mashuleniWangu ana 4yrs last week walikuwa kwenye exam ya midterm kwa elimu yake ya kindergarten sasa mwalimu akaandika vitu amabvyo hawajawahi kusoma aisee aligoma kuufanya huo mtihani mpaka akaenda mama yake siku iliyofuata ikabidi afanye kama special mbele ya mama yake na kumbembeleza kwa sana tu.
Hahahaaaaa bora umempa vyake asitukate stimu buana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Ukongwe wako hautuhusu na hakuna aliyekuita uje kusoma huu uzi.
Ukisema ukongwe kila mtu ni mkongwe kwa mwenzake.
Usilete stress zako za maisha mkuu kama unaona uzi hauna maana tembelea jukwaa la ufugaji, siasa n.k
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya mambo ya wazazi kutopata muda wa kukaa na watoto wao, kuna dogo aliharibu ndoa ya wazazi wake, bila baba wala mama kujua kwamba dogo miaka 4 ameshajua kusoma vizuri alichukua simu ya baba yake, sasa bahati mbaya sijui ilikuwaje wakashtuka anasoma meseji ya mchepuko kwa kwa sauti mpaka akaimaliza, ma mama alikuwa hana tabia ya kugusa simu ya mume wake.
Kilichoendelea hapo ni mtafaruku.
Mmmmmh huko kumnenea mwanangu mabaya sintanena kamwe, labda ujisemee ww wangu jembeeeHata mimi nimegundua wengi wamekuwa waongo sana humu
Wengine watoto wao wazembe Ila wanashindwa kusema tu
AmenSiku moja nilirudi home toka mihangaikoni nikakuta kabinti kangu kanaogeshwa chumbani kwakuwa kulikuwa na baridi kali, ile nazama tu chumbani kakanirudishia mlangoni "baba rudi chebuleni uchinchungukie" nikasema asante Mungu kameanza kujitambua bado kadogo, nikatulia sebuleni, mamake alivyokachomoa ktk beseni la maji akakapaka mafuta huku amekaandalia nguo za kuvaa, ila mamake amejipindua tu, mara hako kakaja na nguo mkononi katupu kama kalivyozaliwa kakisema "baba nivalishe nguo nimechaoga".
Sijasahau hadi leo, nitamkumbusha siku ya harusi yake Mungu akipenda nikisimamishwa na MC kutoa neno kama Mzazi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huo ugali sasaMi wa kwangu balaa natamani akue kidogo labda nitapata zuri la kueleza, leo ni wiki ya tatu sijalala nakesha, dogo analala mchana wakati mimi nipo job, usiku halali na akilala mikononi ukimuweka kitandani tuu yani kabla hata hujakiacha kitanda kishaamka na kelele nyingi, kingine asee usikae karibu na mamaake ugomvi wake c mdogo atalia hapo hadi utashangaa, kingine tangu wiki iliyopita hajacheka sijui ndo kutabasamu hakuna. Ana miezi 4. Hataki kulazwa kama watoto wengine anapokuwa macho, yeye anataka kukaa na anakaa...huyo ni mdogo, kakayake yeye anapenda ngumi, anajua bunduki zote kwa majina, hili nimejaribu kumuonya mamayake asiwe akimuwekea movie za mapigano zaidi ya cartoon lakini sijui huyu kijana anajifunzia wapi maana hakawii kukwambia anataka awe mwanajeshi sababu hapendi majambazi, huyo Ana miaka mi 4, anajua kikorea, kajifunza wapi mi sijui...ila ana shida moja anapenda tambi tuu, vyakula vingine kula mpaka mpigizane kelele sana na husingizia anataka kukojoa akienda harudi..ana huruma sana na mamayake, mjanja mjanja sana ukikasiririka atajua jinsi ya kukufanya ucheke tuu, shida usimuache na mdogo wake peke yao, unaweza kuta mtoto analishwa ugali.
Mnafana sana na jambe lakoana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Pole sana mkuu!Wangu sijui angekuaje, ametangulia mbele ya haki, katakua mbinguni kanacheza huko...