Viongozi hawa wamesema Hayati Magufuli aliongoza nchi vibaya sana, wewe je?

Kwa mafanikio mengi aliyapata, ni wazi aliiweza nchi, sema njia ya maendeleo sio kila mtu anaiweza
 
Acha uchonganishi mkuu.
 
Ila Diallo ndio kapitiliza kabisa....khaaa! Ati JPM alikuwa na faili mirembe? Hasa ukizingatia nafasi ya Diallo katika ccm.....hizo ni allegations kubwa sana. Kweli watu walichoka!
 
Angekuepo wangesema analazimisha watu wampaishe
Sasa bahati nzuri wanaodhani wanamshusha ndio wanazidi kumpaisha
Ukiwa mwendawazimu, ukiambiwa wewe ni jambazi hatari, unaweza kufurahi na kutamba mbele ya majambazi wenzio kwa sababu umetambulika kuwa wewe ni jambazi hatari kuwazidi wengine.

Marehemu alifanya maovu mengi, lakini itoshe kumsamehe kutokana na tatizo lake la akili. Wa kulaumiwa ni wale waliokuwa wazima, hasa Kikwete na Mkapa, ambao walijua kabisa tatizo la akili alilokuwa nalo marehemu. Milembe alienda kutibiwa mwenyewe lakini Ujerumani, ni Mkapa ndiye aliyemlazimisha kuwa akatibiwe maana marehemu alikuwa anagoma, na kudai kuwa ni mzima, na hiyo ni kawaida kwa wagonjwa wote wa akili, huwq hawakubali kuwa wana matatizo ya akili.
 
JPM anaupiga mwingi akiwa kalala zake Chato kwa amani. Ukitaka kaumaarufu kama nyota yako kisiasa imebuma itisha press ongea ovyo kuhusu JPM hapohapo unapata dakika 15 zako za umaarufu. JPM bado yupo nasi sana topic zake hazitaisha. Actually it is very satisfying kuona mtu anakurupuka tokea mafichoni na kuanza kubwabwaja JPM was this JPM was that..hapo najua ngosha kumbe alikuwa really on the driving seat kuendesha nchi bila kutizama nyani usoni asije vuna mabua. Long live comrade JPM's name.
 
Wanazidi kumuweka juu juu bila wenyewe kujua.
[emoji7][emoji7][emoji7]
Ni kweli, kwa maana Hitler, Idd Amin, Mussolin, Pinochet kwa kutajwa sana kwa ukatili wao, wapo juu sana.
 
Siku akili zikiwakaa vizuri[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huko paradiso anaweza kuwepo Azory Gwanda na Ben Sanane pia?
 
Angekuepo wangesema analazimisha watu wampaishe
Sasa bahati nzuri wanaodhani wanamshusha ndio wanazidi kumpaisha
Kama kutuhumiwa kwamba alikuwa na faili Mirembe ndio kupaishwa basi hata na wewe pia hamnazo! 😂
 
Magufuli hata wamnenee mabaya vipi Ila ni Rais pekee aliyeweza kuirudisha Tanzania kwenye uwajibikaji na uadirifu. Kamwe hakucheka na kima wanaoharibu shamba.
Wanaolialia ni walewale kima wenye nia ovu na nchi hii.
waliojimilikisha nchi na Chama. Tusubiri na tuone yajayo yanachekesha na kututia aibu km nchi huru.
Pumzika Kwa amani John Pombe Magufuli
 
Namsikiliza Waziri mkuu mstaafu Judge Warioba, aisee kweli tumepita kipindi kigumu.
 
Mm hata sielewi nini kinaendelea sasa hivi,kila nikijaribu kuangalia naona giza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…