Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 2,026
- 4,450
- Thread starter
-
- #21
Umetoka kula Mbuni na Swala.Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Mchele kilo 3500? C yule jamaa alisema amezunguka nchi nzima hakuna bei ya punje 3500 kwa kilo?Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Angalizo:Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Mawazo kama haya ndio yanawaponza,tuma maombi Kupitia Halmashauri Yako.Angalizo:
Serikali ya CCM wanapoongelea VIJANA,
Wanamaanisha vijana wa UVCCM.
Kama wewe ni kijana na haupo UVCCM, wewe ni Mzee😃😃😃
Yule ni lord lofa mmoja......alishiba matapu tapu akatoka hadharani kuyatapika.Mchele kilo 3500? C yule jamaa alisema amezunguka nchi nzima hakuna bei ya punje 3500 kwa kilo?
CHADEMA walioko Mwanza wanaripoti soko la mirongo Mchele ni 3000 Kwa kilo,Mchele kilo 3500? C yule jamaa alisema amezunguka nchi nzima hakuna bei ya punje 3500 kwa kilo?
Endelea kulalamika,sera ya Kilimo ni biashara hakuna kufunga mipakaUmetoka kula Mbuni na Swala.
Umeshashiba sasa.
Mkishiba uwa mnatuona kama mambumbu tu.Endelea kulalamika,sera ya Kilimo ni biashara hakuna kufunga mipaka
Nimewahi tuma Halmashauri vijana wangu kadhaa, wakaambiwa wajiunge ktk makundi na wote wawe na card za CCM!!!Mawazo kama haya ndio yanawaponza,tuma maombi Kupitia Halmashauri Yako.
Hata Vijana wa CCM wakipata ni sawa pia.
Dagaa hawa wa kilo moja 10000?ni mwendo wa ugali na dagaa 2 no option
Autoe wapi ?Nunua mchele wa.280OTsh.
Upunguze gharama.
No usitusingizie,WACHA WATUUE TULIWACHAGUA WENYEWE KWA MBWEMBWE ZOTE[emoji779][emoji779]
Hapa unaonyesha ni jinsi ulivyovimbiwa kwa shibe! Mkuu badilika acha mahaba na chama!!Endelea kulalamika,sera ya Kilimo ni biashara hakuna kufunga mipaka
Upo masokoni.Autoe wapi ?
Ni wapumbavu, watoto wa mama na wale wanaoishi kwa shemeji zao ndiyo watakukejeli! Ila kiukweli hali mtaani ni mbaya.Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Suluhu inapatikana kwa wananchi wenyewe sio nje ya nchi.Endelea kulalamika,sera ya Kilimo ni biashara hakuna kufunga mipaka