Viongozi mtatuua kwa sonona

Viongozi mtatuua kwa sonona

Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Umetoka kula Mbuni na Swala.
Umeshiba sasa.
 
Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔

🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
Mchele kilo 3500? C yule jamaa alisema amezunguka nchi nzima hakuna bei ya punje 3500 kwa kilo?
 
Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Angalizo:

Serikali ya CCM wanapoongelea VIJANA,

Wanamaanisha vijana wa UVCCM.

Kama wewe ni kijana na haupo UVCCM, wewe ni Mzee😃😃😃
 
Mchele kilo 3500? C yule jamaa alisema amezunguka nchi nzima hakuna bei ya punje 3500 kwa kilo?
CHADEMA walioko Mwanza wanaripoti soko la mirongo Mchele ni 3000 Kwa kilo,

Kama Bei ni hiyo Leo mza, dar baada ya wiki Bei itakuwa 4000 Kwa kilo.
 
Mawazo kama haya ndio yanawaponza,tuma maombi Kupitia Halmashauri Yako.

Hata Vijana wa CCM wakipata ni sawa pia.
Nimewahi tuma Halmashauri vijana wangu kadhaa, wakaambiwa wajiunge ktk makundi na wote wawe na card za CCM!!!

Ikabidi warudi tu mtaani kuendelea kuhangaika,

Maana waliseema kuliko kujiunga CCM ya sasa Bora wasubiri Mkombozi mwingine aje.
 
Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔

🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
Ni wapumbavu, watoto wa mama na wale wanaoishi kwa shemeji zao ndiyo watakukejeli! Ila kiukweli hali mtaani ni mbaya.

Binafsi sijawahi kushuhudia bei ya chakula kupaa kiasi hiki, huku thamani ya lesa ikizidi kushuka.
 
Back
Top Bottom