Viongozi sikilizeni matakwa ya Wananchi, zama hizi Tofauti

Jamani mnashindwa kuelewa kuwa kiongozi ni mtu. tena ana dini, kabila na elimu. mtu ukiwa na sifa hizi lazima utasifiwa na kukosolewa kinyume cha hivyo huo ni umungu mtu. huyu mtangazaji anaye lalamika si kosa lake bali alizoea kuimbia vingozi kwaya na kumchezea kwata kiongozi wa PLO arafat.
 
Kwani Chadema hakuna wananchi?

Umefahamu phrase hii hata ilikotoka au kurukia tu? Habari za kurukia za kurukia mambo zinakera sana.

View attachment 2166040
Wananchi wako pande zote lakini CCM haitumii kama kigezo cha kulazimisha kupitisha hoja binafsi.
Kama Chadema mnavyolazimisha mawazo ya viongozi wenu kuwa mawazo ya wananchi.

Nyinyi hao wananchi wenu Chadema mnakutana nao katika vikao gani?

Kutwa kucha tunashinda na nyinyi huku mitandaoni.

Kama mikutano na vikao halali ya kisiasa imezuiwa kote nchini kwa sasa.

Je haya mnayoyatimiza kwa sasa yanatokana na ile Ilani yenu ya Uchaguzi 2020 au wananchi wa Maria Space na Club House?

Kwingineko huko mashinani ofisi zenu mmezitelekeza kama hii
[emoji116]
View attachment 2166099
 

Funguka mjomba hausomeki.
 

Hivi Chadema mitandaoni mnakutana nao wapi ndugu?

Watambue Wanachama wa Vyama Mitandaoni

Kwanini hamdhani kuwa inawezekana mnakutana na watu wasiopenda udhwalimu ambao wametambua kuwa ninyi hamna nia njema?

Kwa nia njema ipi awaye yote anaweza kupinga ujio wa katiba mpya kwa mfano? Kwa maslahi yapi? Kwa maslahi ya nani?

Mnadhani mnaweza mdanganya nani zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…