- Thread starter
- #21
Muulize
Anapumulia mashine hadi wamtolee kihoro nyomi si mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize
Wananchi wako pande zote lakini CCM haitumii kama kigezo cha kulazimisha kupitisha hoja binafsi.Kwani Chadema hakuna wananchi?
Umefahamu phrase hii hata ilikotoka au kurukia tu? Habari za kurukia za kurukia mambo zinakera sana.
View attachment 2166040
Jamani mnashindwa kuelewa kuwa kiongozi ni mtu. tena ana dini, kabila na elimu. mtu ukiwa na sifa hizi lazima utasifiwa na kukosolewa kinyume cha hivyo huo ni umungu mtu. huyu mtangazaji anaye lalamika si kosa lake bali alizoea kuimbia vingozi kwaya na kumchezea kwata kiongozi wa PLO arafat.
Wananchi wako pande zote lakini CCM haitumii kama kigezo cha kulazimisha kupitisha hoja binafsi.
Kama Chadema mnavyolazimisha mawazo ya viongozi wenu kuwa mawazo ya wananchi.
Nyinyi hao wananchi wenu Chadema mnakutana nao katika vikao gani?
Kutwa kucha tunashinda na nyinyi huku mitandaoni.
Kama mikutano na vikao halali ya kisiasa imezuiwa kote nchini kwa sasa.
Je haya mnayoyatimiza kwa sasa yanatokana na ile Ilani yenu ya Uchaguzi 2020 au wananchi wa Maria Space na Club House?
Kwingineko huko mashinani ofisi zenu mmezitelekeza kama hii
[emoji116]
View attachment 2166099