Viongozi wa AFC/M23 Bukavu, wanusurika kuuwawa na uongozi wa DRC

Viongozi wa AFC/M23 Bukavu, wanusurika kuuwawa na uongozi wa DRC

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Leo,kwenye mkutano wa viongozi wa AFC/M23 huko mjini Bukavu, Kivu kusini, katika mkutano wa hadhara baina ya uongozi wa M23 na raia wa Bukavu, jeshi la serikali liliandaa shambulizi kutumia Drones, kwa bahati mbaya zote zilidunguliwa kabla hazijafika zilikokuwa zimeelekezwa.

Siku mbili zilizopita, makazi ya wanyamulenge, huko MINEMBWE, Kivu kusini, yalirushiwa mabomu mengi na drones na ndege za kivita za serikali ya Congo, baada ya kundi la TWIRWANEHO kulizidi nguvu jeshi, na kulinyang'anya silaha na kambi ya jeshi.

Hata hivyo, haikuzuia maafa, bada ya watu wapatao watano,akiwemo mwanamke mmoja, kuhudhulia mkutano wakiwa na mabomu, ambapo wamefanikiwa kujilipuwa na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

Wahusika, wamekamatwa.
Na viongozi wa AFC/M23, wapo salama.


Taarifa za awali, zinasema kwamba, mabomu yaliyotumika, ni mali ya jeshi la Burundi. Kwa mjibu wa msemaji mkuu wa kidiplomasia wa M23, Bertrand Bisiimwa.

Taarifa zaidi, zitawajia hivi punde

 
Leo,kwenye mkutano wa viongozi wa AFC/M23 huko mjini Bukavu, Kivu kusini, katika mkutano wa hadhara baina ya uongozi wa M23 na raia wa Bukavu, jeshi la serikali liliandaa shambulizi kutumia Drones, kwa bahati mbaya zote zilidunguliwa kabla hazijafika zilikokuwa zimeelekezwa.

Hata hivyo, haikuzuia maafa, bada ya watu wapatao watano,akiwemo mwanamke mmoja, kuhudhulia mkutano wakiwa na mabomu, ambapo wamefanikiwa kujilipuwa na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

Wahusika, wamekamatwa.
Na viongozi wa AFC/M23, wapo salama

Taarifa zaidi, zitawajia hivi punde
Duuuuu.... hatari sana hii
 
Hizi habari, hazijatoka magazetini, nawapeni vitu moto moto.

Hili ndilo kosa kubwa serikali ya DRC na Bujumbula walilofanya kwa ushilikiano wao. Hapo mimi ujumbe nimewapeni, kaeni msikilizie kinachoenda kutokea.

Ila, pale unaposhindwa kupambana na waasi wako, ukaanza kupambana na raia, ndo mwanzo wa kufail.

Kwa hili, sidhani kama kuna raia wa kawaida atakuwa na imani na upendo na serikali sasa. Idadi ya vifo itawajia punde
 
Leo,kwenye mkutano wa viongozi wa AFC/M23 huko mjini Bukavu, Kivu kusini, katika mkutano wa hadhara baina ya uongozi wa M23 na raia wa Bukavu, jeshi la serikali liliandaa shambulizi kutumia Drones, kwa bahati mbaya zote zilidunguliwa kabla hazijafika zilikokuwa zimeelekezwa.

Hata hivyo, haikuzuia maafa, bada ya watu wapatao watano,akiwemo mwanamke mmoja, kuhudhulia mkutano wakiwa na mabomu, ambapo wamefanikiwa kujilipuwa na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

Wahusika, wamekamatwa.
Na viongozi wa AFC/M23, wapo salama.


Taarifa za awali, zinasema kwamba, mabomu yaliyotumika, ni mali ya jeshi la Burundi. Kwa mjibu wa msemaji mkuu wa kidiplomasia wa M23, Bertrand Bisiimwa.

Taarifa zaidi, zitawajia hivi punde



View: https://x.com/VictorMurashi/status/1895066824472945137

Acheni kuua watu Ili kuhalalisha vita vyenu .
 
Leo,kwenye mkutano wa viongozi wa AFC/M23 huko mjini Bukavu, Kivu kusini, katika mkutano wa hadhara baina ya uongozi wa M23 na raia wa Bukavu, jeshi la serikali liliandaa shambulizi kutumia Drones, kwa bahati mbaya zote zilidunguliwa kabla hazijafika zilikokuwa zimeelekezwa.

Siku mbili zilizopita, makazi ya wanyamulenge, huko MINEMBWE, Kivu kusini, yalirushiwa mabomu mengi na drones na ndege za kivita za serikali ya Congo, baada ya kundi la TWIRWANEHO kulizidi nguvu jeshi, na kulinyang'anya silaha na kambi ya jeshi.

Hata hivyo, haikuzuia maafa, bada ya watu wapatao watano,akiwemo mwanamke mmoja, kuhudhulia mkutano wakiwa na mabomu, ambapo wamefanikiwa kujilipuwa na kusababisha vifo vya watu kadhaa.

Wahusika, wamekamatwa.
Na viongozi wa AFC/M23, wapo salama.


Taarifa za awali, zinasema kwamba, mabomu yaliyotumika, ni mali ya jeshi la Burundi. Kwa mjibu wa msemaji mkuu wa kidiplomasia wa M23, Bertrand Bisiimwa.

Taarifa zaidi, zitawajia hivi punde



View: https://x.com/VictorMurashi/status/1895066824472945137

Kam wamefikia Hata kujilipua na mabomu basi hii vita wameshashinda…..
Ni kujimobolize tu na kumtandika…

Ili ushinde vita yyte duniani lazima ufuate hii principle

“Uwe tayari kwa lolote na kupoteza chochote kushinda”
Hapa hata adui atanyoosha mikono
 
Hizi habari, hazijatoka magazetini, nawapeti vitu moto moto.

Hili ndilo kosa kubwa serikali ya DRC na Bujumbula walilofanya kwa ushilikiano wao. Hapo mimi ujumbe nimewapeni, kaeni msikilizie kinachoenda kutokea.

Ila, pale unaposhindwa kupambana na waasi wako, ukaanza kupambana na raia, ndo mwanzo wa kufail.

Kwa hili, sidhani kama kuna raia wa kawaida atakuwa na imani na upendo na serikali sasa. Idadi ya vifo itawajia punde
Vita haina macho
 
Kujilipua ni ishara ya kushindwa vita,Kongo wangekuwa na jeshi imara wasingetumia mbinu ya ugaidi ya kujitoa muhanga.wangewatuma makomandoo kadhaa dakika 5 zilikuwa zinatosha kula vichwa vya viongozi wa m23.
 
Back
Top Bottom