Viongozi wa AFC/M23 Bukavu, wanusurika kuuwawa na uongozi wa DRC

Viongozi wa AFC/M23 Bukavu, wanusurika kuuwawa na uongozi wa DRC

Nyingi wacongo wote takataka tu. Washenzi. Na hamtapata Amani mpaka muache njia mbaya. Mnauwa watu wasio na hatia majuzi Kuna sehemu mmefunga raia mikono nyuma na kuanza kuwauwa kwa kuwaponda vichwa mpaka wanakufa zaidi ya watu 15. Alafu mnataka Amani. Hamtaipata. Hata Mungu anasema hapana AMANI KWA WABAYA.
(Isaya 48:22 Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA. )
Ndugu yangu mlokole nafikiri unasemea wale waasi wa Kiislam wa ADF NALU? wale asili yao ni Uganda wakiwa na madai ya kuifanya Uganda iwe Nchi ya kiislam,

Hata wakati wanawauwa wale raia walikua wanalalamika eti " waislam wanaonewa
Wakati kimantiki Congo haijawahi kuwa na vita ya kidini ,

Ni wapuuzi tu wale toka Uganda,unajua tulipofikia Congo imekua chaka la uchafu wote ,usishangae siku Congo wakatokea waasi kutokea Gabon au Togo huko wakakianzisha Congo
 
Ndugu yangu mlokole nafikiri unasemea wale waasi wa Kiislam wa ADF NALU? wale asili yao ni Uganda wakiwa na madai ya kuifanya Uganda iwe Nchi ya kiislam,

Hata wakati wanawauwa wale raia walikua wanalalamika eti " waislam wanaonewa
Wakati kimantiki Congo haijawahi kuwa na vita ya kidini ,

Ni wapuuzi tu wale toka Uganda,unajua tulipofikia Congo imekua chaka la uchafu wote ,usishangae siku Congo wakatokea waasi kutokea Gabon au Togo huko wakakianzisha Congo
Ndugu congo inakua Chaka sababu ya tamaa yenu wenyewe maana kila mtu ujaribiwa kwa tamaa yake mwenyewe. Mtu anatoka nje ya nchi yenu na Nia yake mbaya anaingia congo mnampa sapoti mpaka anapata nguvu anaanza kusumbua na kuwauwa
 
Nyie mashabiki wa hizi vita za mitandaoni naona mnahemkwa pasipo na haya wala stara ni vyema hao marehem/majeruhi wenu mkawastiri kuliko kuleta taharuki hapa jukwaani. Mna hulka za wanyama 😈 mfano wewe ulie up load hii picha unajua ya kuwa upo kinyume na hili jukwaa au ndio tayari na wewe?
Kuna ubaya gani kuweka video kinacho endelea CONGO DRC?. Ila samahani kama nilicho upload kimeamanisha moyo wako.
 
Hizi habari, hazijatoka magazetini, nawapeti vitu moto moto.

Hili ndilo kosa kubwa serikali ya DRC na Bujumbula walilofanya kwa ushilikiano wao. Hapo mimi ujumbe nimewapeni, kaeni msikilizie kinachoenda kutokea.

Ila, pale unaposhindwa kupambana na waasi wako, ukaanza kupambana na raia, ndo mwanzo wa kufail.

Kwa hili, sidhani kama kuna raia wa kawaida atakuwa na imani na upendo na serikali sasa. Idadi ya vifo itawajia punde
Intuition.... Hii ni made from Kigali kuwapaka wengine matope.
 
Nyingi wacongo wote takataka tu. Washenzi. Na hamtapata Amani mpaka muache njia mbaya. Mnauwa watu wasio na hatia majuzi Kuna sehemu mmefunga raia mikono nyuma na kuanza kuwauwa kwa kuwaponda vichwa mpaka wanakufa zaidi ya watu 15. Alafu mnataka Amani. Hamtaipata. Hata Mungu anasema hapana AMANI KWA WABAYA.
(Isaya 48:22 Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA. )
Wana akili kweli?
 
Vipi kwani? Humu hatujuani mkuu punguza shobo hili ni jukwaa huru so mtu yeyote anaweza kuchangia keep guessing lazy cow
Mtusi tulia mpelekewe moto


Mara hii Dunia imeshajua lialia zenu.


Huku mnapigwa sanctions


Huku mnapelekewa moto
 
Mtusi tulia mpelekewe moto


Mara hii Dunia imeshajua lialia zenu.


Huku mnapigwa sanctions


Huku mnapelekewa moto
First and first I don't argue with fools and for that reason nimechagua wimbo wa kasongo ukusindikize kwenye bin aka ignore list, have a good day
 
Back
Top Bottom