gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Watutsi na propaganda zenuWewe unaongea unajua mtu anaambiwa nini mpaka kutekeleza tukio la kujilipua? Kama hujui huna sababu ya kutetea au kubisha kila kitu kinawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watutsi na propaganda zenuWewe unaongea unajua mtu anaambiwa nini mpaka kutekeleza tukio la kujilipua? Kama hujui huna sababu ya kutetea au kubisha kila kitu kinawezekana
Vipi kwani? Humu hatujuani mkuu punguza shobo hili ni jukwaa huru so mtu yeyote anaweza kuchangia keep guessing lazy cowWatutsi na propaganda zenu
Unawaza ng'ombe tu..acha ujinga wa kitusiVipi kwani? Humu hatujuani mkuu punguza shobo hili ni jukwaa huru so mtu yeyote anaweza kuchangia keep guessing lazy cow
MM Nasubili mlokole ajichanganye kuwai muislam ndio GAID !!!!!! Nimekaaa paleeeSuicide Bomber nadhani ni mara ya kwanza kwenye historia ya Dr. Congo.
Mkuu this is below my standard 👎ngoja niishie hapaUnawaza ng'ombe tu..acha ujinga wa kitusi
Ndugu yangu mlokole nafikiri unasemea wale waasi wa Kiislam wa ADF NALU? wale asili yao ni Uganda wakiwa na madai ya kuifanya Uganda iwe Nchi ya kiislam,Nyingi wacongo wote takataka tu. Washenzi. Na hamtapata Amani mpaka muache njia mbaya. Mnauwa watu wasio na hatia majuzi Kuna sehemu mmefunga raia mikono nyuma na kuanza kuwauwa kwa kuwaponda vichwa mpaka wanakufa zaidi ya watu 15. Alafu mnataka Amani. Hamtaipata. Hata Mungu anasema hapana AMANI KWA WABAYA.
(Isaya 48:22 Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA. )
Ndugu congo inakua Chaka sababu ya tamaa yenu wenyewe maana kila mtu ujaribiwa kwa tamaa yake mwenyewe. Mtu anatoka nje ya nchi yenu na Nia yake mbaya anaingia congo mnampa sapoti mpaka anapata nguvu anaanza kusumbua na kuwauwaNdugu yangu mlokole nafikiri unasemea wale waasi wa Kiislam wa ADF NALU? wale asili yao ni Uganda wakiwa na madai ya kuifanya Uganda iwe Nchi ya kiislam,
Hata wakati wanawauwa wale raia walikua wanalalamika eti " waislam wanaonewa
Wakati kimantiki Congo haijawahi kuwa na vita ya kidini ,
Ni wapuuzi tu wale toka Uganda,unajua tulipofikia Congo imekua chaka la uchafu wote ,usishangae siku Congo wakatokea waasi kutokea Gabon au Togo huko wakakianzisha Congo
Kuna ubaya gani kuweka video kinacho endelea CONGO DRC?. Ila samahani kama nilicho upload kimeamanisha moyo wako.Nyie mashabiki wa hizi vita za mitandaoni naona mnahemkwa pasipo na haya wala stara ni vyema hao marehem/majeruhi wenu mkawastiri kuliko kuleta taharuki hapa jukwaani. Mna hulka za wanyama 😈 mfano wewe ulie up load hii picha unajua ya kuwa upo kinyume na hili jukwaa au ndio tayari na wewe?
Intuition.... Hii ni made from Kigali kuwapaka wengine matope.Hizi habari, hazijatoka magazetini, nawapeti vitu moto moto.
Hili ndilo kosa kubwa serikali ya DRC na Bujumbula walilofanya kwa ushilikiano wao. Hapo mimi ujumbe nimewapeni, kaeni msikilizie kinachoenda kutokea.
Ila, pale unaposhindwa kupambana na waasi wako, ukaanza kupambana na raia, ndo mwanzo wa kufail.
Kwa hili, sidhani kama kuna raia wa kawaida atakuwa na imani na upendo na serikali sasa. Idadi ya vifo itawajia punde
Wana akili kweli?Nyingi wacongo wote takataka tu. Washenzi. Na hamtapata Amani mpaka muache njia mbaya. Mnauwa watu wasio na hatia majuzi Kuna sehemu mmefunga raia mikono nyuma na kuanza kuwauwa kwa kuwaponda vichwa mpaka wanakufa zaidi ya watu 15. Alafu mnataka Amani. Hamtaipata. Hata Mungu anasema hapana AMANI KWA WABAYA.
(Isaya 48:22 Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA. )
Mtusi tulia mpelekewe motoVipi kwani? Humu hatujuani mkuu punguza shobo hili ni jukwaa huru so mtu yeyote anaweza kuchangia keep guessing lazy cow
First and first I don't argue with fools and for that reason nimechagua wimbo wa kasongo ukusindikize kwenye bin aka ignore list, have a good dayMtusi tulia mpelekewe moto
Mara hii Dunia imeshajua lialia zenu.
Huku mnapigwa sanctions
Huku mnapelekewa moto