Viongozi wa AFC/M23 Bukavu, wanusurika kuuwawa na uongozi wa DRC

Viongozi wa AFC/M23 Bukavu, wanusurika kuuwawa na uongozi wa DRC

Tatizo humu wengine wana act kama wendawazimu na kuanza kum attack mleta mada na mitusi ya rejareja kwa kisa gani sasa kunyweni maji, breath in and out.
Tushawajua hao aise. FDLR. Hawana namna, matusi hayaui. Kikubwa tu himaya zao zinavunjwa kila kukicha. Nawaandaa tu muda si mrefu tutawaona
 
Waasi na Serikali wote punguwani - watu wazima na akili zenu karne hii mnang'ang'ania kuwa na misimamo ya ajabu, mnashindwa kuzungumza mnaanza kutwangana.Tena wote nchi moj
 
Ni kweli Watu wamekufa lakini madai yako kwamba ni serikali ndio imeua raia wao Haina uthibitisho wowote.
 

Attachments

  • VID-20250227-WA0005.mp4
    11.5 MB
Aibu kubwa kwa serikali ya DRC kugeuka magaidi.
vita ni propaganda , na m23 wanaeza fanya hv kuwachafua serikali ya DRC , jiongeze , jeshi la DRC haliwez tumia mbinu ya kujilipua kama wanaeza fika mpk eneo la tukio wakiwa na silaha , Tushirikishe akil yetu vizur
 
Yaani mtu anapambana na waasi halafu yeye ndio awe haidi tena? 😂😂😂
vita ni propaganda , na m23 wanaeza fanya hv kuwachafua serikali ya DRC , jiongeze , jeshi la DRC haliwez tumia mbinu ya kujilipua kama wanaeza fika mpk eneo la tukio wakiwa na silaha , Tushirikishe akil yetu vizur
 
Prove it 👆
DRC hawajawa na watu wa kujitoa muhanga , wakongo wengi kama watz , huez nambia Jeshi la DRC limefanikiwa kumtuma mtu akafika mpk eneo la tukio na kuona nijia ya kujilipua kama njia sahihi ya kuwakabili m23 , maana viongoz m23 ni ngumu kuwalenga kwa njia ya kujitoa muhanga , kama DRC wangemtumi sniper tu na sio kujilipua , M23 wanajenga chuki kati ya serikali na wananchi wao

JESHI L DRC NI BOVU NA HALINA NIDHAMU ILA KWA HILI SIO WAO , DRC HAKUNA WATU WA KUJITOA MUHANGA , HUYO NI MTU KAPANGWA NA M23 KWA VITISHO KISHA WANAFRAME KUWA NI M23
 
Tushawajua hao aise. FDLR. Hawana namna, matusi hayaui. Kikubwa tu himaya zao zinavunjwa kila kukicha. Nawaandaa tu muda si mrefu tutawaona
vita ni propaganda , na m23 wanaeza fanya hv kuwachafua serikali ya DRC , jiongeze , jeshi la DRC haliwez tumia mbinu ya kujilipua kama wanaeza fika mpk eneo la tukio wakiwa na silaha , Tushirikishe akil yetu vizur
 
M23 haiwezi kutawala kwa Amani
hao ni m23 wanajarib kujenga chuki kati ya raia wa Goma na serikali ya DRC , watu wapo ahead kimipango , Front ya m23 hata SA haez ipita , imekuwaj jeshi la DRC liweze fanikisha kumfikisha mtu mpk eneo la tukio , tena wakijua mtu haez mfikia mlengwa
 
Daah aisee hatari sana Nchi ushaambiwa pana vita mnaanzaje kukusanyana kwenye Dunia yenye technology ya kisasa.
 
Nawahakikishia iii shambulizi limefanywa na watiifu wa serikali ya rwanda ili kummaliza NANGAA kama alivyofanywa PASTER BIZIMUNGU. Muda utaongea
 
Ni kweli Watu wamekufa lakini madai yako kwamba ni serikali ndio imeua raia wao Haina uthibitisho wowote.
Nyie mashabiki wa hizi vita za mitandaoni naona mnahemkwa pasipo na haya wala stara ni vyema hao marehem/majeruhi wenu mkawastiri kuliko kuleta taharuki hapa jukwaani. Mna hulka za wanyama 😈 mfano wewe ulie up load hii picha unajua ya kuwa upo kinyume na hili jukwaa au ndio tayari na wewe?
 
DRC hawajawa na watu wa kujitoa muhanga , wakongo wengi kama watz , huez nambia Jeshi la DRC limefanikiwa kumtuma mtu akafika mpk eneo la tukio na kuona nijia ya kujilipua kama njia sahihi ya kuwakabili m23 , maana viongoz m23 ni ngumu kuwalenga kwa njia ya kujitoa muhanga , kama DRC wangemtumi sniper tu na sio kujilipua , M23 wanajenga chuki kati ya serikali na wananchi wao

JESHI L DRC NI BOVU NA HALINA NIDHAMU ILA KWA HILI SIO WAO , DRC HAKUNA WATU WA KUJITOA MUHANGA , HUYO NI MTU KAPANGWA NA M23 KWA VITISHO KISHA WANAFRAME KUWA NI M23
Wewe unaongea unajua mtu anaambiwa nini mpaka kutekeleza tukio la kujilipua? Kama hujui huna sababu ya kutetea au kubisha kila kitu kinawezekana
 
Back
Top Bottom