Viongozi wa AFC/M23 Bukavu, wanusurika kuuwawa na uongozi wa DRC

Nyingi wacongo wote takataka tu. Washenzi. Na hamtapata Amani mpaka muache njia mbaya. Mnauwa watu wasio na hatia majuzi Kuna sehemu mmefunga raia mikono nyuma na kuanza kuwauwa kwa kuwaponda vichwa mpaka wanakufa zaidi ya watu 15. Alafu mnataka Amani. Hamtaipata. Hata Mungu anasema hapana AMANI KWA WABAYA.
(Isaya 48:22 Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA. )
 
Kujilipua ni ishara ya kushindwa vita,Kongo wangekuwa na jeshi imara wasingetumia mbinu ya ugaidi ya kujitoa muhanga.wangewatuma makomandoo kadhaa dakika 5 zilikuwa zinatosha kula vichwa vya viongozi wa m23.
Huwezi pigana silaha za jadi na silaha mpya wanazopewa Rwanda na marekani

Watu wana night vision
Drone interceptor
Satelite information
Bado bunduki walizonazo ni Advanced
 

Attachments

  • 8207294B-2742-4A38-BB05-7059343831C4.jpeg
    177.3 KB · Views: 2
Safi sana acha yauane na yafe tu kwasababu ni majinga.

Nyau de adriz
 
Elewa kwanza,usijumlishe. uliowaona wamefungwa kamba, ni watutsi wa Congo. Wanaowafunga kamba, ni serikari.
 
Pamoja na hayo, mabomu mengine yamerushwa na jeshi la Burundi.

ikumbukwe, siku za nyuma kuna jeshi la Afrika kusini, watu wapatao 800, walitua Bujumbura. Wametoka huko kuelekea Bukavu, wakiwa na sale za jeshi la Burundi. Serikali ya DRC pia, baada ya kuwa na shaka na uwanja wa Kindu, jimboni maniema, kwa sasa inatumia uwanja wa Bujumbura.
Burundi, imeahidi serikari ya DRC kurudisha Kivu kusini, kwa malipo ya kazi yake, wakati inajiandaa pia kuhakikisha inairudisha Kivu kaskazini

Mpaka hapo, anaechochea kuni anajulikana
 
Ni propaganda za m23 ili wapate uungwaji mkono
 
Anachochea kuni watu wanataka kuokoa nchi yako?? we matako kweli mjaa laana
 
Elewa kwanza,usijumlishe. uliowaona wamefungwa kamba, ni watutsi wa Congo. Wanaowafunga kamba, ni serikari.
Acha kujitetea hata madereva wengi manawatesa na kuwauwa. Ndiyo maana nimewaambia nyinyi ni takataka bro nishakuja congo Mara nyingi tu naongea kitu ninachokijua. Mna ujinga mwingi sana. Unatakaje Amani huku unauwa wageni ambao hawahusiki na mambo ya nchi yenu?. Wanaleta mizigo ambayo ni ya kwenu wenyewe na bado mnawauwa alafu mnataka Amani. Hakuna Mungu wa namna hiyo wa kuwapa Amani. Mtatafuta amani kwa mtutu na amtaipata.
 
Tatizo humu wengine wana act kama wendawazimu na kuanza kum attack mleta mada na mitusi ya rejareja kwa kisa gani sasa kunyweni maji, breath in and out.
 
Mnajiandaa kuivuruga na Burundi ?...

Mtashindwa tu nyie wahaini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…