Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #61
😎Kwamba hayo aloandika kumuhusu Lissu hayako sahihi????
Labda nikuulize, wewe ni RC au DC au DAS au DED ,?
Mbona unatunisha misuli sana na mume wenu kasema Hatowabadili waliopo???.
Jamaa amin nakuambia, Kama umesoma lkn elim yako inakufanya usione Ukweli na uhuru aa mambo yalivyo basi tambua ELIMU YAKO HAIJAKUSAIDIA KITU CHOCHOTE.
Hao mliowaua, hakuna wakati walionekana wapo huru.Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.
Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?
Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.
Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?
Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?
Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.
Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganwi kitoto.
Nota bene : kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covud-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Unadhani ukijipendekeza ccm utanufaikaKwa hiyo nani anataka uteuzi. Mtu akitoa maoni tu ni kutaka uteuzi. Tumia akili, we unadhani kila mtu ni kama wewe.
Nje ya mada nalogoff.Hao mliowaua, hakuna wakati walionekana wapo huru.
Tundu aliyishiwa kwanza, baadaye mkampiga risasi kweli. Ben Saanane alitishiwa kwanza, baadaye mkampoteza. Azory alitishiwa kwa kufichua mauaji yanayofanywa na polisi, baadaye mkampoteza.
Inaonekana mnaumia sana kwa kukosa wa kumshindilia risasi.
Lema, Mungu akulinde. Shetani anasikitika kwa kuikosa damu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi machangudo a huwa wanapambana?Mimi nafanya shughuli zangu, njoo Segese uone tunavyopambana. Habari za uteuzi ni za kishamba na washamba kama wewe ndio wanazifikiria.
Umenifurahisha ulipoandika kuwa wameshindwa kwenye box la kura! Bahati nzuri wengi wetu humu tunamwamini Mungu na Mungu anajua kilichopo kwenye nafsi zetuHii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.
Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?
Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.
Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?
Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?
Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.
Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganwi kitoto.
Nota bene : kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covud-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
Kwani msipowapeleka kuna impact gani?Ukiukwaji ni mkubwa sanaa. Kuanzia mchakato wa uchaguzi mpaka kufikia ccm inatafuta wabunge wa chadema vitu maalum kwa tochii ili kuleta taswira ya bunge la jmt hulioni hilo ? Hii aibu mtaibeba nyiee mileleee
Kwa hapa jukwaani, kati ya watu ambao tayari ni mentally crippled, wewe huwezi kukosekana kwenye hiyo orodha.Mkuu chagu wa malunde, bora useme wewe, tukisema sisi tunaishia kuitwa makada, lakini kiukweli baadhi ya hawa jamaa zetu, kichwani, sio wazima kabisa!.
Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Wanabodi, JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia, na hiki ndicho ninachofanya hapa, kwa kuendelea na zile makala zangu elimishi kuhusu Maslahi ya Taifa...www.jamiiforums.com
P
Hakuna.sasa mnahangaika nini kuwapigia simu na kuwatangaza kwenye magazeti wakati chadema hakijatoa mapendekezo yeyote?Kwani msipowapeleka kuna impact gani?
Ile kauli imewakata tumbo mno leoMzee Pombe amesema hatarajii kufanya uteuzi wa makada kwa kipindi hichi.
Unasema kweli?Hakuna.sasa mnahangaika nini kuwapigia simu na kuwatangaza kwenye magazeti wakati chadema hakijatoa mapendekezo yeyote?
Mkuu, ni vyema ukajitafakari halafu uamue aidha ukae kimya au uuseme ukweli wa moyo wako. Hii Dunia tunapita tu. Huenda unatetea maslahi ya tumbo lako, si vibaya Ila ukumbuke wengine wameachana na tumbo, wanatetea roho zao.Kura ziliibiwa wapi? Mnatengeza clip za uongo kuaminisha watu upuuzi! Kama waliiba si mfungue kesi na sio kwende nje kuwa wakimbizi.
Ukweli huwa unajidhihilisha hata Kama utachelewa, Kama ni waongo hawajatishiwa ni suala la muda tuu,Hii ni dalili kuwa hamlitakii mema taifa letu na ipo siku mtaliletea janga kubwa. Ndio maana aliyekuwa mbunge wa Temeke kupitia CCM aliwahi kutoa ombi kuwa Chadema ni chama cha wapenda vurugu hivyo kinastahili kufutwa.
Baada ya kushindwa uchaguzi kwenye box la kura na wananchi kuichagua Ccm sasa mnataka kuiaminisha jumuia ya kimataifa kuwa hapa Tanzania kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je mbona mlipokuwa wabunge hizi propaganda zenu hatukuzisikia?
Sasa hivi mmezua mchezo mchafu eti mnatafuta hifadhi kama wakimbizi wa kisiasa kuwa kuna tishio la kuuliwa na vyombo vya dola. Mnachotaka tu ni kuchafua taswira ya nchi yetu kuwa hakuna amani na kuna ukiukwaji wa haki za binadamu. Je kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu mbona UN wapo kimya na wana ofisi hapa Tanzania.
Kama vyombo vya dola vilitaka kumuua G Lema wangemuacha yupo salama wiki zote hizi mbili tangu uchaguzi uishe? L Nyalandu anatafuta kick kuwa anakimbia kuuliwa hivi mwanasiasa ambae unataka kuuliwa watu watakuacha hizi siku zote upo salama?
Godbless Lema alipokuwa mbunge alikumbana na kesi nyingi sana,na mpaka alikaa mahabusu miezi minne mbona alipotoka mahabusu hakukimbilia Kenya kwenda kuomba hifadhi kama mkimbizi wa kisiasa?
Kwa ujumla ni kutokubali matokeo ndio sababu ya kutaka kuchafua taswira ya nchi yetu. Na kukosa ubunge ambao kwenu mlidhania nia ajira za kudumu ndio sababu mnataka kwenda kujifanya wakimbizi.
Na hii propaganda mlioamua kuitumia itabuma na mtaaibika zaidi na huu ndio unaenda kuwa mwisho wenu mbaya kisiasa. Maana watanzania wana akili na hawadanganwi kitoto.
Nota bene : kila propaganda mlizoanzisha zote zilibuma,kumbukeni wakati wa Covid-19 mlipata aibu kubwa,amabayo imewanyima kura.
hisia za kupenda Chama chako zimekuharibuKwa hiyo nani anataka uteuzi. Mtu akitoa maoni tu ni kutaka uteuzi. Tumia akili, we unadhani kila mtu ni kama wewe.
Nenda zako. Wewe sindiye ulimchongea KabENDERA una utu gani ulionao mmeshajitangazia ushindi wa mauaji bakiani nao tu. Mtakufa vifo vibaya sana.Mkuu chagu wa malunde, bora useme wewe, tukisema sisi tunaishia kuitwa makada, lakini kiukweli baadhi ya hawa jamaa zetu, kichwani, sio wazima kabisa!.
Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane!
Wanabodi, JF ni ukumbi huru wa kuhabarishana, kuelimishana, kuburudishana, na kitu kikubwa zaidi, kusaidiana. Kama kuna kitu unakijua, na unaona kinafanyika ndivyo sivyo, unajitolea kusaidia, na hiki ndicho ninachofanya hapa, kwa kuendelea na zile makala zangu elimishi kuhusu Maslahi ya Taifa...www.jamiiforums.com
P
Ile clip haina ukweli, polisi wasingeacha kitu kama kile kifanyike. Wala hakuna namba ya askari au sura aliyemshika yule mama iliyoonekana.Unatengeneza clip ambayo maaskari polis wakionekana humo kwa utambulisho wa sura na namba zao za kazi. Halafu polis hawa wa kwetu wenye inteligensia kali ya kunasa wakuaje hivi hivi? Kweli akili za mafiem anajua tuzitwist yule bwana anayeitwa Harakaharaka wa pale Lumumba. Kuweni na hata chembe ya iabu basi, kwani hamjaridhika tu na huo wizi wa kura? Mnataka nini zaidi? Sasa kama mtu anaondoka na kukuacha utawale bado kuna shida?
Wewe ni wa chama gani: sina uhakika kama chama cha hao waliopanga kukimbia nchi ili kupata sympathy ya kimataifa kinawapa wanachama wake amani na demokrasia ya kweliI'm also on my way to leave this land of thugs, whose "boss" is barbaric and embracing thuggery.