Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #61
😎Kwamba hayo aloandika kumuhusu Lissu hayako sahihi????
Labda nikuulize, wewe ni RC au DC au DAS au DED ,?
Mbona unatunisha misuli sana na mume wenu kasema Hatowabadili waliopo???.
Jamaa amin nakuambia, Kama umesoma lkn elim yako inakufanya usione Ukweli na uhuru aa mambo yalivyo basi tambua ELIMU YAKO HAIJAKUSAIDIA KITU CHOCHOTE.