Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Viongozi walitakiwa kuongea mwanzo kabisa wa kesi.

Kwa sasa wananchi wana kiu ya kumsikiliza Freeman Mbowe akijitetea!

Huu ndio wakati Yesu alijaribiwa na shetani pale juu ya mlima.
Ni rahisi wao kutwambia Yesu atarudi lini kuliko kumshauri rais kuingilia mahakama
 
Nusrat Hanje aliachiwa kwa sheria gani ili. aje kukamilisha 'covid 19' ya genge la Halima Mdee na Ndugai.

Bwashee punguza mbege wakati wa kwaresma
Kesi ya Mbowe Kama ya Yesu. HERODE: Sioni kosa namwachia. WAYAHUDI: Ukimwachia wewe siyo RAFIKI yake Kaizari. Jaji anayesikiliza kesi ya Mbowe ana shinikizo tu la CCM ( Wayahudi).
 
Hiyo picha wasiione watu wa mambo ya "gender"
 
Nasikia moja ya kilelezo cha utetezi wa mh. Mbowe ni mkataba wa yeye kukopeshwa shs 1,000,000/= na Urio = kumbe zile hela alizomtumia Urio alikuwa anapunguza deni
Umeambiwa na nani?Epuka kuandika upuuzi mbele ya watu waliostaarabika!
 
Viongozi walitakiwa kuongea mwanzo kabisa wa kesi.

Kwa sasa wananchi wana kiu ya kumsikiliza Freeman Mbowe akijitetea!

Huu ndio wakati Yesu alijaribiwa na shetani pale juu ya mlima.
Kma ni hivyo, basi ujue serikali imewatumia viongozi wa dini ili Mbowe akiachiwa ipate pa kusemea kwamba iliombwa na viongozi wa dini. Hapa Kuna ka mchezo kanachezwa kuiondolea aibu serikali.
 
Bibi ushungi anataka amfunge Mbowe basi
Anaweza akanawa mikono Kama Herode....Mchukueni ninyi mkamhukumu kwa Sheria yenu(Sheria ya Wayahudi/CCM ni kusulubu kwenye msalaba), Mbowe anaweza kusulubiwa kwa Sheria ya Kiyahudi (au CCM) Yaani uonevu bila ushahidi.
 
Ni utapiamlo wa akili kuamini kuwa Tanzania ina viongozi wa dini.

Huyu hapa ni hao unaodai kuwa ni viongozi wa dini akidai kuwa Magufuli ni mkubwa kuliko Mungu,Yesu na mtume Mohamad enzi za uhai wa Magufuli.
View attachment 2136477

Mkuu be fair, weka video yote inayoonyesha mwanzo hadi mwisho wa kauli hiyo ya huyo sheikh.

Hakuna shaka kuwa huyo sheikh ni chawa mkubwa wa viongozi wa serikali. Lakini hiyo kauli ni zaidi ya wendawazimu. Ni muhimu na lazima ithibitike mwanzo hadi mwisho wake.
 

Kuombwa ni kama vile Mbowe ana makosa.
Kushauri Mbowe hana kosa ila Rais kwa kutumia mamlaka yake anaweza kutumia busara kuachana na kesi ya michongo,majaji wa michongo,waendesha mashtaka wa michongo,mashahidi wa michongo na hukumu za michongo.
 
03 March 2022

GUMZO KUBWA BAADA YA MBOWE KUTAJWA KTK MKUTANO BAINA YA RAIS NA VIONGOZI WA DINI

Askofu Bagonza afafanua mkutano wao na Rais Samia Hassan, nini walizungumza viongozi wa dini kuhusu kesi ya Mbowe:


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…