Ni rahisi wao kutwambia Yesu atarudi lini kuliko kumshauri rais kuingilia mahakamaViongozi walitakiwa kuongea mwanzo kabisa wa kesi.
Kwa sasa wananchi wana kiu ya kumsikiliza Freeman Mbowe akijitetea!
Huu ndio wakati Yesu alijaribiwa na shetani pale juu ya mlima.
Kesi ya Mbowe Kama ya Yesu. HERODE: Sioni kosa namwachia. WAYAHUDI: Ukimwachia wewe siyo RAFIKI yake Kaizari. Jaji anayesikiliza kesi ya Mbowe ana shinikizo tu la CCM ( Wayahudi).Nusrat Hanje aliachiwa kwa sheria gani ili. aje kukamilisha 'covid 19' ya genge la Halima Mdee na Ndugai.
Bwashee punguza mbege wakati wa kwaresma
Mpuuzi weweIle hela yako ya mbege nitakulipa manka!
Hahahaaaa........ Kiukweli Mwamba siyo gaidi!Mpuuzi wewe
Hiyo picha wasiione watu wa mambo ya "gender"Hivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .
Hoja hiyo iliwasilishwa mbele ya Rais na Shehe Mkuu (BAKWATA) Mufti Aboubakar Zuberi
=======
VIONGOZI WA DINI: BUSARA ITUMIKE KUMALIZA KESI YA MBOWE
Viongozi hao wameomba Mamlaka husika kutumia busara na kuangalia namna ya kumaliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na wenzake
Wametoa rai hiyo leo Machi 2, 2022 walipokutana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Ikulu Dar es Salaam. Katika Mkutano huo, Viongozi hao wa Dini mbalimbali pia wamependekeza kuwe na Mjadala mpana kuhusu Mfumo mpya wa Elimu utakaokidhi mahitaji ya sasa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali wa Dini mara baada ya Kikao chao kilichofanyika leo tarehe 02 Machi, 2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Na hata kuwa mileleHahahaaaa........ Kiukweli Mwamba siyo gaidi!
Bibi ushungi anataka amfunge Mbowe basiKesi ya Mbowe Kama ya Yesu. HERODE: Sioni kosa namwachia. WAYAHUDI: Ukimwachia wewe siyo RAFIKI yake Kaizari. Jaji anayesikiliza kesi ya Mbowe ana shinikizo tu la CCM ( Wayahudi).
Binadamu hubadilika manka!Na hata kuwa milele
Umeambiwa na nani?Epuka kuandika upuuzi mbele ya watu waliostaarabika!Nasikia moja ya kilelezo cha utetezi wa mh. Mbowe ni mkataba wa yeye kukopeshwa shs 1,000,000/= na Urio = kumbe zile hela alizomtumia Urio alikuwa anapunguza deni
Kma ni hivyo, basi ujue serikali imewatumia viongozi wa dini ili Mbowe akiachiwa ipate pa kusemea kwamba iliombwa na viongozi wa dini. Hapa Kuna ka mchezo kanachezwa kuiondolea aibu serikali.Viongozi walitakiwa kuongea mwanzo kabisa wa kesi.
Kwa sasa wananchi wana kiu ya kumsikiliza Freeman Mbowe akijitetea!
Huu ndio wakati Yesu alijaribiwa na shetani pale juu ya mlima.
Anaweza akanawa mikono Kama Herode....Mchukueni ninyi mkamhukumu kwa Sheria yenu(Sheria ya Wayahudi/CCM ni kusulubu kwenye msalaba), Mbowe anaweza kusulubiwa kwa Sheria ya Kiyahudi (au CCM) Yaani uonevu bila ushahidi.Bibi ushungi anataka amfunge Mbowe basi
Mahakama ina kazi gani sasa kwa mujibu wa katiba ya JMT?
Hao viongozi wa dini wamelewa mvinyo!
Hatari snAnaweza akanawa mikono Kama Herode....Mchukueni ninyi mkamhukumu kwa Sheria yenu(Sheria ya Wayahudi/CCM ni kusulubu kwenye msalaba), Mbowe anaweza kusulubiwa kwa Sheria ya Kiyahudi (au CCM) Yaani uonevu bila ushahidi.
Hujasoma kesi kititaUmeambiwa na nani?Epuka kuandika upuuzi mbele ya watu waliostaarabika!
Nolle prosequi.Kwani Masheikh wa uamusho waliachiliwa na nani?
Ni utapiamlo wa akili kuamini kuwa Tanzania ina viongozi wa dini.
Huyu hapa ni hao unaodai kuwa ni viongozi wa dini akidai kuwa Magufuli ni mkubwa kuliko Mungu,Yesu na mtume Mohamad enzi za uhai wa Magufuli.
View attachment 2136477
InasikitishaNi utapiamlo wa akili kuamini kuwa Tanzania ina viongozi wa dini.
Huyu hapa ni hao unaodai kuwa ni viongozi wa dini akidai kuwa Magufuli ni mkubwa kuliko Mungu,Yesu na mtume Mohamad enzi za uhai wa Magufuli.
View attachment 2136477
Chura Bana sisi hatukuwezi. Wee kula koyoyoz tu hapo ulipokaa mbele yako kwa juu kuna picha ya mamaNolle prosequi.
Kichwa cha Habari WAMEMSHAURI
Habari halisi WAMEMWOMBA
Kwani ukisema Rais Ameombwa unaona kama utampa credit Rais?
mwisho: Mh Rais Alishasema; suala hili kwa kuwa lipo Mahakamani si busara kulisemea.
Tuwe na imani na Mahakama yetu na itatenda haki.