Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ibariki CHADEMAHivi ndivyo Mwananchi walivyoeleza kwenye tovuti yao jioni hii .
Hoja hiyo iliwasilishwa mbele ya Rais na Shehe Mkuu (BAKWATA) Mufti Aboubakar Zuberi...
Mkuu naona Leo wewwe ni shift supervisor Kama Mimi.Mungu ibariki CHADEMA
Rais alishatoa matamko mengi...mara wengine wamefungwa nkKichwa cha Habari WAMEMSHAURI
Habari halisi WAMEMWOMBA...
Kama umekerwa kalia mkukiHawa Viongozi Macho Yao Wameiona Kesi moja tu Mahakamani? Mbona ipo mikesi mingi tu Wameifumbia Macho..!
Wajikite Kumtangaza Mungu , haya mambo Sijui futa Kesi Ya Sabaya ,Sijui futa Kesi Ya Mbowe Waachane nayo...!
Hata mimi sijaelewa vizuri,kwamba kwenye kesi hii anayemshitaki Mbowe ni Jamuhuri (serikali) au ni Mahakama?Kwamba Rais aingilie muhimili wa mahakama au sijaelewa vizuri?
"Nolle prosequi" ni sheriawaache sheria ifuate mkondo
[emoji23]kama kawaMkuu naona Leo wewwe ni shift supervisor Kama Mimi.
Wakuu naomba kuuliza kwenye picha ya kwanza nimeona Laigwanani mgongoni kushoto kwa Malasusa je anawakilisha dini ganiKichwa cha Habari WAMEMSHAURI
Habari halisi WAMEMWOMBA
Kwani ukisema Rais Ameombwa unaona kama utampa credit Rais?
mwisho: Mh Rais Alishasema; suala hili kwa kuwa lipo Mahakamani si busara kulisemea.
Tuwe na imani na Mahakama yetu na itatenda haki.
Wao wana alama gani?Maaskofu RC hawaonekani kwenye picha ?
Kwamba Rais aingilie muhimili wa mahakama au sijaelewa vizuri?
Mahakama za bongo zinaangalia Mkuu wa Nchi Anataka nini. Mahakama zipo Kenya bhana.Kichwa cha Habari WAMEMSHAURI
Habari halisi WAMEMWOMBA..
Ni Rais huyohuyo aliyeufahamisha ulimwengu kupitia BBC kuhusu uhalifu na kukimbia nchi alioufanya Mbowe huku wenzake wakifikishwa mahakamani na kufungwa!Kichwa cha Habari WAMEMSHAURI
Habari halisi WAMEMWOMBA...
Uzuri wa JF of GT's hata waliokimbia shule hujifanya wasomi, KKKT na Katoliki hauwezi kuwa askofu bila darasa lililotukuka.Akikubali nitashangaa sana!
Hao viongozi wa dini wanajua sheria lakini?
Crap…Taarifa rasmi ya ikulu imesema hivyo. Kuna yafiatayo;
1. Samia amekosa jinsi ya kumuachia Mbowe kaona awatumie viongozi wa dini baada ya ile ya KIBARAKA (ZUBERI) ku backfire.
2. Mbinyo umekuwa mkubwa lakini Samia anaona aibu baada ya kuropoka BBC.
Not trueSiku zote Rais haombwi , anashauriwa tu
Mkuu uhamsho hakuna aliyepelekwa mahakamani, Mbowe yupo mahakamani kila siku na wenyewe wana "mashahidi" kibao.Kwa vile kesi za mashehe wa uamsho zimeshafutwa, ni busara na hiyo ya Mbowe ikafutwa kwa sababu hadi sasa, hakuna ushahidi wowote uliotolewa mahakamani unaoonyesha Mbowe alihusika kwa namna yoyote na mipango ya ugaidi...