Viongozi wa HAMAS waliokuwa wanaishi Qatar waenda kusikojulikana. Netanyahu awataka Mossad kuchukua hatua

Viongozi wa HAMAS waliokuwa wanaishi Qatar waenda kusikojulikana. Netanyahu awataka Mossad kuchukua hatua

Wanasonga mbele kwenda wapi? Eneo la Gaza kama Kigamboni tu au unaongea kishabikii mandazi.
Kwan oct 7 , Hamas walilianzisha wakiwa wap na nin ilikuwa malengo yao kuua raia wema wa Dunia akiwepo mtz mwenzio ?
 
Uturuki kawaita wote na kawambia Israel wakimgusa yeyote ndani ya ardhi ya Uturuki atakachofanya Waisrael wanajua wenyewe.

Acha kujifunga macho na akili, Turkey can do nothing to Israel, Mossad will kill all Hamas leaders, keep this in your mind, is not the first time they do that, look in Iran, all nuclear energy scientists have disappeared and killed by Mossad inside Tehran, at the heart of Iran capital.. So acha kuongea tu, wewe unafikiri kwanini wamekimbia na wako nje ya Palestine? Au unajua hawajui nini kinafuata
 
Yaani watu wanapambania taifa lao unawaita vibaraka kweli ukishakuwa punguani na akili zinahama.
kama wewe utakosa kuwa punguani basi neno punguani lifutwe ktk kamusi!
Ungesoma historia na kuelewa hali halisi usingesema "nchi yao"!
 
Viongozi huwa hawauani kwa sababu maalum. Ukiua kiongozi mwenzio na yeye ana means nyuma yake za kukuua. Huyo BIBI naye anaweza kuwindwa yeye na Familia yake wakadedishwa pia. Kisasi ni Haki
 
Kwan oct 7 , Hamas walilianzisha wakiwa wap na nin ilikuwa malengo yao kuua raia wema wa Dunia akiwepo mtz mwenzio ?
Nakuambia tena ungetumia muda wako kujifunza kupia mabandiko yetu kuhusu Mashariki ya Kati wewe umri wako mdogo unajua vita vimeanza Oct 7 wakati yalikuwa majibu hivi vita vimeanza miaka 75 iliyopitq.
 
Uturuki kawaita wote na kawambia Israel wakimgusa yeyote ndani ya ardhi ya Uturuki atakachofanya Waisrael wanajua wenyewe.
Mnajipaga moyo na ujasiri usiokuwepo, sasa huyo uturuki ndio wa kumpiga Israel??kifupi mataifa yote ya kiarabu ni mbw koko kwa muisrael, wanaishiaga kubweka tu
 
Usinifananishe na uharo huo huenda wewe unifahamu mimi naleta data na facts za kutosha pia huenda upendezwi na michango yangu JF nivumulie au potezea post zangu kusoma.
Usipanic ,wewe ni hamas yule ni idf ,nawafuatilia mnavyovipost humu namnyoviamini wote mnajiona mko sahihi na vyanzo vyenu

NB : nakufahamu kitambo tu toka enzi hizo na akika Rejao
 
Mnajipaga moyo na ujasiri usiokuwepo, sasa huyo uturuki ndio wa kumpiga Israel??kifupi mataifa yote ya kiarabu ni mbw koko kwa muisrael, wanaishiaga kubweka tu
Sasa huyo Musrael unayembambaikia leo mwezi wa 3 kakwama Gaza anuwa wat
Usipanic ,wewe ni hamas yule ni idf ,nawafuatilia mnavyovipost humu namnyoviamini wote mnajiona mko sahihi na vyanzo vyenu

NB : nakufahamu kitambo tu toka enzi hizo na akika Rejao
hahaha nipanic kwako😂

Mimi mwenyewe nakusoma ni Muisrael mweusi tena shabiki mandazi toka lini ukapenda post zangu.
 
Sasa huyo Musrael unayembambaikia leo mwezi wa 3 kakwama Gaza anuwa wat

hahaha nipanic kwako😂

Mimi mwenyewe nakusoma ni Muisrael mweusi tena shabiki mandazi toka lini ukapenda post zangu.
Mimi siwezi kuwa muisrael mweusi au hamas mweusi, M23 tu hapa wananikosesha usingizi ni hangaike na hao, wavaa kobaz uchwara ndio huwa maandaazi , mnawaonea huruma mabosi zenu
 
Turkish President Recep Tayyip Erdogan warned Israel on Wednesday that Israel would “pay a very heavy price” if it attempted to eliminate Hamas members in Turkey.
Erdogan ni kiongozi mtata mwenye ndimi mbili.
 
Wao ni kupiga kelele wakiwa mahotelini ya nyota tano huwa wagaza wanasafiri na punda kukimbia vita kwa ajili ya wapumbavu wachache
Mbona Yair Netanyahu kijana wa Waziri mkuu anaonekana Miami Beach akila bata wakati vijana wengine wapo vitani huko Israeli?
 
Back
Top Bottom