Viongozi wa HAMAS waliokuwa wanaishi Qatar waenda kusikojulikana. Netanyahu awataka Mossad kuchukua hatua

Viongozi wa HAMAS waliokuwa wanaishi Qatar waenda kusikojulikana. Netanyahu awataka Mossad kuchukua hatua

Unajua zamani media karibu zote zilikuwa za magharibi na tulidanganywa sana aisee! Kamba nyingi.

Hao Mossad mnaowasifia leo mwezi wa tatu hawafahamu mateka walipo na hiyo Gaza ni eneo dogo sana kama Kigamboni.

Hamas wamepanga mashambulizi wameingia mpaka ndani ya Israel wamefanya picha na kurudi Gaza hao Mossad wako wapi?

Acheni story za zamani😂
Achana na mateka mkuu nazungumzia assassination zao hili hata irani limemumiza mno just go and read yule mwanasayansi wao(Mohsen Fakhrizadeh) wa nyuklia waliekuwa wanamlinda sana je ilitokea niny! Mpaka akauawa na bunduki iliyokua imelekezwa na mfumo wa teknolojia mwaka 2020.

Hivyo haya mambo ya kijasusi huwa siyafatilii kupitia western media just huwa nasoma mwenyewe, pia siongozwi na mahaba mkuu, ila nasimamia ukweli plndio maana nikasema irani ilifanya investiment kubwa sana kijasusi baada ya mauaji haya kwa wanasayansi wake wa nyuklia, ndio maana alikua anawadaka sana majasusi wa mossad ndani ya nchi yake na kuwanyonga.
 
Turkish President Recep Tayyip Erdogan warned Israel on Wednesday that Israel would “pay a very heavy price” if it attempted to eliminate Hamas members in Turkey.
Raisi wa uturuki angenyamaza tu

Mturuki mwenzie Mumilki wa shule za Feza zilizoko nchi nyingi duniani ikiwemo Tanzania anataka kumpindua anazidi kuongeza maadui
 
Wewe mvaa msalaba wa mbao ndiyo una akili? Wadanganye mashoga wenzako kuwa ndani ya Iran Waisrael wamemua nani.

Lusundo la Mamayo😂
Wale wanasayansi wa Iran walikufaje? Shoga mwenyewe mbwa wewe.
 
Huko Arusha Masheikh 6 wamehukumiwa kunyongwa kwa tuhuma za ugaidi kulipua kanisa RC la olasit .
Israel fyeka hao magaidi hamas ,magaidi hawana nafasi katika jamii iliyostaarabika
 
Wamshindwa kuwakamata Hamas na mateka wao ambao wapo Gaza watawazeza viongozi wa Hamas
Kwani,kushindwa ni kupi? Mbona vita inaendelea na maeneo ya Gaza kwa kiasi kikubwa yanakaliwa na IDF.na sasa maji yameanza kujazwa kwenye mashimo panya walimo. Hao ndiyo wanaoshindwa. Toka mapema niliandika humu kuokoa mateka ni kauli mbiu iliyobeba lengo la Israel nyuma yake ,kulikalia Gaza kwa muda muda usiojulikana.
Hiyo vita haiishi leo wala kesho.
 
Wamshindwa kuwakamata Hamas na mateka wao ambao wapo Gaza watawazeza viongozi wa Hamas
Taarifa zisizo rasmi, mateka wengi wamekutwa wamechinjwa, na wachnjaji wakajisalimisha. Ndo baadhi ya wale walioonekana wamevuliwa nguo juzi.
 
Kwani,kushindwa ni kupi? Mbona vita inaendelea na maeneo ya Gaza kwa kiasi kikubwa yanakaliwa na IDF.na sasa maji yameanza kujazwa kwenye mashimo panya walimo. Hao ndiyo wanaoshindwa. Toka mapema niliandika humu kuokoa mateka ni kauli mbiu iliyobeba lengo la Israel nyuma yake ,kulikalia Gaza kwa muda muda usiojulikana.
Hiyo vita haiishi leo wala kesho.
Na wewe unaamini mahadaki yanajazwa maji na hamas watakufa🤣

Hawa wameuliwa wapi?


View: https://x.com/verumreports/status/1734879231258005699?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
BREAKING: Puma has announced it is dropping its sponsorship of the Israel Football Association, including the national soccer team.

Puma has long been a target of a Boycott, Divestment, Sanctions (BDS) campaign for sponsoring teams in illegal settlements.
 
Uturuki kawaita wote na kawambia Israel wakimgusa yeyote ndani ya ardhi ya Uturuki atakachofanya Waisrael wanajua wenyewe.
Duh! ni mwendo wa vitisho na matamko lakini Mossad watatekeleza Amri kama ilivyotolewa.
 
Nakuambia tena ungetumia muda wako kujifunza kupia mabandiko yetu kuhusu Mashariki ya Kati wewe umri wako mdogo unajua vita vimeanza Oct 7 wakati yalikuwa majibu hivi vita vimeanza miaka 75 iliyopitq.
Hawa huwa hawapendi kujifunza kutu wao wanakariri October 7 .wakati kila mwezi Israeli huwaua wapalestina
 
Point yangu tangu mwazo ni, Hamas kukimbilia turkey si uhakika wa usalama wao.
Kifo chake Uturuki wanahusika sijui kama ulikuwa unajua Jamal Khashoggi alikuwa kibaraka wa Marekani
 
Back
Top Bottom