LATRA tatizo limeisha, Mpango,limeisha,Hanang ndo kumesahaulika, Hamas na Israel ndo moto moto. Watu wengine hiyo Hamas wameijua juzi tu,hawajui ya nani,kwa nini,mpaka lini. Wengine wanaongelea MOSSAD kama wao ni wawakilishi.
Kabla ya kudandia ya watu,angalieni ya kwenu kwanza. Mbona wao hawawapi hata pole?
Kabla ya kudandia ya watu,angalieni ya kwenu kwanza. Mbona wao hawawapi hata pole?