Viongozi wa HAMAS waliokuwa wanaishi Qatar waenda kusikojulikana. Netanyahu awataka Mossad kuchukua hatua

LATRA tatizo limeisha, Mpango,limeisha,Hanang ndo kumesahaulika, Hamas na Israel ndo moto moto. Watu wengine hiyo Hamas wameijua juzi tu,hawajui ya nani,kwa nini,mpaka lini. Wengine wanaongelea MOSSAD kama wao ni wawakilishi.
Kabla ya kudandia ya watu,angalieni ya kwenu kwanza. Mbona wao hawawapi hata pole?
 
Were you there? Among? Can you prove that? Why not others?
 
Mimi siwezi kuwa muisrael mweusi au hamas mweusi, M23 tu hapa wananikosesha usingizi ni hangaike na hao, wavaa kobaz uchwara ndio huwa maandaazi , mnawaonea huruma mabosi zenu
Hahahaha unazunguka kote umerudi pele pale chuki yako kali sana dhidi Usllam, punguani kweli acha unafiki wa kishoga.
 
Hahaha maku ya Bi mkubwa wako tamu sana naona unatafuata basha kwa nguvu JF mimi na mashoga mbali mbali umesikia wewe bwegee.
Maku yako ndio mnato, ya bi mkubwa ishazikwa ,ila yako mnato au bi mdada nyumbani pale inafaa ,niko na vumbi la nyumbani tunaita mkongo nishafunga kilemba , kama inauma Chomoa
 
Turkish President Recep Tayyip Erdogan warned Israel on Wednesday that Israel would “pay a very heavy price” if it attempted to eliminate Hamas members in Turkey.
Aanze na MBS(Mohomed bin Salman) kwanza,alichakata mwili wa mtu ndani ya ardhi ya Turkey
 
Turkish President Recep Tayyip Erdogan warned Israel on Wednesday that Israel would “pay a very heavy price” if it attempted to eliminate Hamas members in Turkey.
Mimi nilifikiri wako Gaza wanapambana, kumbe wapo ng'ambo wanakula raha?
 
Tatizo nikwamba oparesheni za mossad kupitia kitengo cha kidoni huwa assassination zao wanazifanya kwa umakini mkubwa sana, hivyo hamna sehemu watakayokua salama angalau waende irani kwa ayatollah awape ulinzi, maana irani kupitia majasusi wao wanauwezo mkubwa na wamefanya study nyingi kuhusu assassination walizofanyiwa wanasayansi wao wa nyuklia kwajinsi walivyokua wanauawa na mossad.

Lakini wakibaki turkey, qatar au inchi yeyote hapo Mashariki ya kati tofauti na irani basi its just a matter of time they will be dead. Maana uwezekano wa wao kumalizwa utakua ni mkubwa mno ila wakienda iran mossad itapata kazi ngumu sana kuwamaliza.
 
Uturuki kawaita wote na kawambia Israel wakimgusa yeyote ndani ya ardhi ya Uturuki atakachofanya Waisrael wanajua wenyewe.
Magaidi wanauliwa na Israel ndani ya Iran na hawafurukuti itakua uturuki? Wavaa kobazi hamnaga akili.
 
Unajua zamani media karibu zote zilikuwa za magharibi na tulidanganywa sana aisee! Kamba nyingi.

Hao Mossad mnaowasifia leo mwezi wa tatu hawafahamu mateka walipo na hiyo Gaza ni eneo dogo sana kama Kigamboni.

Hamas wamepanga mashambulizi wameingia mpaka ndani ya Israel wamefanya picha na kurudi Gaza hao Mossad wako wapi?

Acheni story za zamani😂
 
Mossad wakakomboe kwanza mateka wao halaf mengine yataendelea
 
Magaidi wanauliwa na Israel ndani ya Iran na hawafurukuti itakua uturuki? Wavaa kobazi hamnaga akili.
Wewe mvaa msalaba wa mbao ndiyo una akili? Wadanganye mashoga wenzako kuwa ndani ya Iran Waisrael wamemua nani.

Lusundo la Mamayo😂
 
Wamshindwa kuwakamata Hamas na mateka wao ambao wapo Gaza watawazeza viongozi wa Hamas
Mkuu Ritz matumaini yangu umzima na buheri wa afya. Sasa kaka yangu Ritz nilikuuliza swali juzi kwa upole na staha huyo jamaa zombie kwenye avatar picha yako naye ni muislamu? Lakini unanikwepa tu hutaki kunijibu. Hiki kitu hakileti tija na picha nzuri. Mkuu nijibu asee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…