Viongozi wa jeshi la Iran wauawa kwenye shambulizi la Israel kule Syria

Viongozi wa jeshi la Iran wauawa kwenye shambulizi la Israel kule Syria

Ngoja tuone kama atalipiza kisasi ndani au atatafuta uchokozi kwa nchi zingine. Maana hapo ili alipe yatakiwa alipize ndani ya Israel, nje ya Israel hawezi maana atajiongezea maadui.

Hapo atachofanya ni kuongeza silaha.

Ila hii wiki imekuwa ya moto sana IAF haipoi
Mbona majuzi kati hapo Mwamba aliwaambia wazi kwamba Magaidi watafuatiliwa popote walipo?? Ninachojiuliza ni kwa nini wanaambiwaga halafu lakini hawahangaiki wala hawajishughulishi hata kidogo walau kuchukua tahadhari ilhali wanajua kwamba wamewahifadhi magaidi hapo kwao. Hawajaamini bado kwamba Mwamba hanaga Utani?
 
Hivi Haouth kama siwasikii vile kulikoni kwani?
 
Iranian State Media has now Confirmed that in addition to Mohammad-Reza Zahedi and Mohammad-Haji Rahim that Brigadier General Hossein Amirollah, the Chief of the General Staff for IRGC’s Quds Force in Syria and Lebanon was also Killed in the Israeli Airstrike on Damascus, with it now appearing that at least 3 Brigadier Generals were Eliminated in today’s Strike.
IDF is the best army in the world
 
Back
Top Bottom