Viongozi wa jeshi la Iran wauawa kwenye shambulizi la Israel kule Syria

Mbona majuzi kati hapo Mwamba aliwaambia wazi kwamba Magaidi watafuatiliwa popote walipo?? Ninachojiuliza ni kwa nini wanaambiwaga halafu lakini hawahangaiki wala hawajishughulishi hata kidogo walau kuchukua tahadhari ilhali wanajua kwamba wamewahifadhi magaidi hapo kwao. Hawajaamini bado kwamba Mwamba hanaga Utani?
 
Hivi Haouth kama siwasikii vile kulikoni kwani?
 
IDF is the best army in the world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…