Viongozi wa JKT Tanzania hakikisheni Yanga hawapiti mlango wowote zaidi ya ule mtakaopitia nyinyi, washaingia katika mfumo leo

Viongozi wa JKT Tanzania hakikisheni Yanga hawapiti mlango wowote zaidi ya ule mtakaopitia nyinyi, washaingia katika mfumo leo

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Leo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.

Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
 
Kwamba JKT wana timu nzuri kuliko Yanga?
Kwamba Yanga wana wachezaji wabovu na dhaifu kuliko jkt ?
Kwamba yanga ili wamfunge JKT lazima waloge?
IMG_20210715_175055_302.jpg
 
Leo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.

Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
Saa 12 jioni utapata majibu yako. Inaitwa YANGA.
 
Leo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.

Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
Mpira ni taasisi inayojitegema hivo Hauwezi kuwapangia Watu pakuingilia
 
Leo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.

Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
Erudi Tena hapa baada ya saa 12 jioni usije ukatokomea,,mmebaki kwenye mambo ya kishirikina badala ya uwezo na ubora
 
Kwamba JKT wana timu nzuri kuliko YANGA?
Kwamba yanga wana wachezaji wabovu na dhaifu kuliko jkt ?
Kwamba yanga ili wamfunge jkt lazima waloge?View attachment 3231701
Ukweli ni kuwa yanga haikupaswa kushinda mechi ya kengold kule mbeya wala mechi ya Simba.
Ni kwa vile wana mambo mengi nje ya uwanja.
Ni aibu kwa timu inayosemwa bora kushindwa kwenda robo fainali CAF.
Bakini na jitihada za kuiangusha Simba ili isishiriki Klabu bingwa maana mkishiriki wote mtaaibika tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba JKT wana timu nzuri kuliko YANGA?
Kwamba yanga wana wachezaji wabovu na dhaifu kuliko jkt ?
Kwamba yanga ili wamfunge jkt lazima waloge?View attachment 3231701
Nisawa unaenda kwa waganga halafu bidhaa unazo uza zimeoza vile vile unaloga unatumia dawa ili anaye kudai asikuone kumbe hata wateja wengine hawatakuona

Kumbe kama mnaweza kuloga na kushinda mechi kuna hajagani kuwa na wachezaji wa kulipwa

Waamuzi huwa wanatoa maamuzi mabovu inamaana bado haisaidii
 
Ukweli ni kuwa yanga haikupaswa kushinda mechi ya kengold kule mbeya wala mechi ya Simba.
Ni kwa vile wana mambo mengi nje ya uwanja.
Ni aibu kwa timu inayosemwa bora kushindwa kwenda robo fainali CAF.
Bakini na jitihada za kuiangusha Simba ili isishiriki Klabu bingwa maana mkishiriki wote mtaaibika tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Jibu maswali niliyoyauliza.
 
Kipa wa JKT ameahidi kusajiliwa na yanga dirisha kubwa tunajua ni utapeli tu wa yanga hivyo leo tutashuhudia makosa ya kibinaduma
 
Leo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.

Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
Kwahiyo ubaya ubwela ndio unawalazimisha wapite lango ulilowaandalia?
 
umefukuza wateja tayar,,sisi kam mashabiki wa yanga hatuwezi jengewa na fundi maiko
 
Back
Top Bottom