Viongozi wa JKT Tanzania hakikisheni Yanga hawapiti mlango wowote zaidi ya ule mtakaopitia nyinyi, washaingia katika mfumo leo

Viongozi wa JKT Tanzania hakikisheni Yanga hawapiti mlango wowote zaidi ya ule mtakaopitia nyinyi, washaingia katika mfumo leo

Hapa tunamalizia kula wali nyama choma na mbuzi tunashushia na k vant ...unateseka ukiwa wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ubaya ubwela

Biya biya...
Mwenzangu wa ubaya ubwela,usirudie kula wali halafu na k vant.
Yanga wepesi sana wale .
 
Baada ya kushindwa mbinu yao ya kudai watamsajili kipa wa JKT ili awaachie kama walivyomdanganya yule beki Laurence Makame wa Fountain, Utopolo wamemponza kijana wa watu siku hizi anakula mkeka na ukapteni wake
 
Baada ya kushindwa mbinu yao ya kudai watamsajili kipa wa JKT ili awaachie kama walivyomdanganya yule beki Laurence Makame wa Fountain, Utopolo wamemponza kijana wa watu siku hizi anakula mkeka na ukapteni wake
Mwenyewe nashangaa simuoni siku hizi wakati ni kapteni
 
Swali keki waliyoandaa ili kuendelea kumdhalilisha Chasambi watailia wapi?
 
Back
Top Bottom