Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Saa 12 jioni utapata majibu yako. Inaitwa YANGA.Leo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.
Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
Mpira ni taasisi inayojitegema hivo Hauwezi kuwapangia Watu pakuingiliaLeo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.
Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
Taasisi ya mpira ndo inayotoa muongozo wa mlango wa kuingilia, ndo maana ukiingia mlango tofauti na ulielekezwa unapigea fainiMpira ni taasisi inayojitegema hivo Hauwezi kuwapangia Watu pakuingilia
Erudi Tena hapa baada ya saa 12 jioni usije ukatokomea,,mmebaki kwenye mambo ya kishirikina badala ya uwezo na uboraLeo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.
Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.
Ukweli ni kuwa yanga haikupaswa kushinda mechi ya kengold kule mbeya wala mechi ya Simba.Kwamba JKT wana timu nzuri kuliko YANGA?
Kwamba yanga wana wachezaji wabovu na dhaifu kuliko jkt ?
Kwamba yanga ili wamfunge jkt lazima waloge?View attachment 3231701
Nisawa unaenda kwa waganga halafu bidhaa unazo uza zimeoza vile vile unaloga unatumia dawa ili anaye kudai asikuone kumbe hata wateja wengine hawatakuonaKwamba JKT wana timu nzuri kuliko YANGA?
Kwamba yanga wana wachezaji wabovu na dhaifu kuliko jkt ?
Kwamba yanga ili wamfunge jkt lazima waloge?View attachment 3231701
Jibu maswali niliyoyauliza.Ukweli ni kuwa yanga haikupaswa kushinda mechi ya kengold kule mbeya wala mechi ya Simba.
Ni kwa vile wana mambo mengi nje ya uwanja.
Ni aibu kwa timu inayosemwa bora kushindwa kwenda robo fainali CAF.
Bakini na jitihada za kuiangusha Simba ili isishiriki Klabu bingwa maana mkishiriki wote mtaaibika tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ushauri: usichanganye biashara na uSimba na uYanga..utakuja kunishukuru.Kwamba JKT wana timu nzuri kuliko YANGA?
Kwamba yanga wana wachezaji wabovu na dhaifu kuliko jkt ?
Kwamba yanga ili wamfunge jkt lazima waloge?View attachment 3231701
Kwahiyo ubaya ubwela ndio unawalazimisha wapite lango ulilowaandalia?Leo lazima kuwe na ubaya ubwela pale Meja Isamuyo, tafadhalini sana uwanja huo una nidhamu zake, eneo hilo ni kambi ya Jeshi, mambo ya kuingia uwanjani kuruka ukuta ama kuvunja geti mpitie mlango mwingine tofauti na ule uliowekwa ukomeshwe leo, Utopolo hawana uwezo wowote zaidi ya nje ya uwanja, leo MP wote wakae lindoni kuhakikisha uwanja wa Meja Isamuyo hauchafuliwi.
Leo watake wasitake ngoma lazima ieleweke, Ubaya Ubwela.