Viongozi wa machinga Dar wakumbana na vurugu wakiwapanga wenzao

Viongozi wa machinga Dar wakumbana na vurugu wakiwapanga wenzao

Na ndio sasa mnazidi kujiharibia kabisa, kwani haya tuliyategemea tulijua hasa kariakoo kukubaliana na hali ni ngumu, hata wale waliokuwa wakiwaonea huruma wataona kumbe ni wahuni tu!!kipigo kitakapoanza!!sasa mlitegemea hao viongozi wenu wawahamasishe kukataa kuhama??
😍
 
View attachment 1979869
Huyu maku sijui mwenyekiti akalale kwa makala leo.

Kariakoo ni ya watanzania wote sio ya wenye mitaji mikubwa peke yao.

Hii ngoma bado mbichi watu watafurahi mbona.
1634692401032.png
 
DSM inapendeza sasa, Tumuunge mkono Mama katika harakati hizi, Majanga aliyoachiwa na Bwana yule ni makubwa sana, ni vile tu hawezi kusema hadharani kwa sababu za KISIASA, na tabia yake pia (Maana mambo aliyoachiwa angekuwa Bwana yule kaachiwa angekuwa anamwaga mitusi kila siku kwenye hotuba zake), hawa machinga nao wasichekewe tena, jambo muhimu kuhakikisha huko walipo wanapatiwa huduma zote muhimu na waanze kulipa kodi sasa....
1634692765595.png
 
Wewe nenda kwenu tu Burundi!

Wamachinga lazima wapangwe na miji yetu lazima iendeshwe kistaaarabu!
Utawapanga mpaka lini.Hapa hujatatua tatizo.Tafuteni eneo lao maalum la biashara zao.Hilo ndilo suluhu.Walishapangwaga.Ukiondoka tu.wamerudi palepale.Au ofisi za jiji zikifungwa tu.tayari weshajazana juu ya mitaro na mbele ya maduka ya walipa kodi.

Tusiwalaumu,ndivyo walivyoaminishwa na mamlaka ikasema msiwabughudhi,hawa ndio wapiga kula wa sisiemu.Tena kuna viongozi waliopoteza kazi kwa kuwasukua.Mkawapa na vitambulisho nchi nzima kuhalalisha uwepo wao. Leo imekuwaje tena,au mhusika keshaendazake.
 
Mku
Makala kafanya kosa kubwa sana la kuwapa wamachinga siku 12,ilitakiwa kuanzia kesho lipite greda na kuvunja vibanda vyote na kwa chinga yeyote atakayekaidi ni kuvunja kiuno tu.

Wamachinga ni kero....Sehemu za kufanyia biashara zipo waende huko ,mafremu yamejaa kibao hayana wapangaji,wasilalamike tu hakuna sehemu za biashara ,zipo sehemu nyingi wachukue fremu wapange,wamezoea mseleleko ,hawataki kulipa kodi.

Tarehe 18 walikuwa washahama karibia wote,walivyopewa siku 12 wamerudi kama awali,Amos umefanya kosa kubwa sana la kiufundi...Hao wa k/koo ni kuwapa kipondo tu hakuna namna ,mkiwapa vipondo wenyewe wataenda sehemu walizopangiwa.
Mkuu,wamepangiwa wapi.
 
Hawafukuzwi wanapangwa kwani we ukihamishwa kikazi unakuwa umefukuzwa mkuu
Ni ngumu hasa kwa kazi zenye nature ya umachinga kama upolisi 😂 ukitolewa shekilango ukapelekwa Tunduma huko jua washakumaliza na njaa maana gari za kukupa laki ndani ya dakika 40 hakuna😂
 
View attachment 1979869
Huyu maku sijui mwenyekiti akalale kwa makala leo.

Kariakoo ni ya watanzania wote sio ya wenye mitaji mikubwa peke yao.

Hii ngoma bado mbichi watu watafurahi mbona.
Nilijua tu kwa maslahi yaliopo kariakoo pale hamna mtu atakubali kuhama kirahisi😂 kariakoo pana hela sana pale ukijiweka vizuri hukosi 30-50K kwa siku kwa biashara ya kawaida tu!
 
Nilikua nawatetea wamachinga kwenye GRP lachama nikaonekana mbaya siungi Sera ila wamachinga niwatu wachini nilishafanya hiyokazi sikunilipoacha nibaada yakua naingiza 300 kwasiku ila fwateni tuu sheria maboss wanataka kupitisha magari yao
Ulianza kuingiza 300K kwa mishe gani mzee?
 
Nilijua tu kwa maslahi yaliopo kariakoo pale hamna mtu atakubali kuhama kirahisi😂 kariakoo pana hela sana pale ukijiweka vizuri hukosi 30-50K kwa siku kwa biashara ya kawaida tu!
Washkaji wengi miaka hii mitano wametengeneza mitaji mikubwa wapo vizuri sasa hivi... alafu kina sandaland wameanzia uko uko ila wao hawataki wenzao wayatoe
 
Makala kafanya kosa kubwa sana la kuwapa wamachinga siku 12,ilitakiwa kuanzia kesho lipite greda na kuvunja vibanda vyote na kwa chinga yeyote atakayekaidi ni kuvunja kiuno tu.

Wamachinga ni kero....Sehemu za kufanyia biashara zipo waende huko ,mafremu yamejaa kibao hayana wapangaji,wasilalamike tu hakuna sehemu za biashara ,zipo sehemu nyingi wachukue fremu wapange,wamezoea mseleleko ,hawataki kulipa kodi.

Tarehe 18 walikuwa washahama karibia wote,walivyopewa siku 12 wamerudi kama awali,Amos umefanya kosa kubwa sana la kiufundi...Hao wa k/koo ni kuwapa kipondo tu hakuna namna ,mkiwapa vipondo wenyewe wataenda sehemu walizopangiwa.
Mkuu wala hajafanya kosa bali, ni mkakati wa kiufundi , kwani waliomba waongezewe, wiki mbili ili wakamilishe, japo hata hizo wiki mbili zitaisha hawakuwa wametoka wote, kwani kuna wengine baada ya kuongezwa siku wamerudisha mabanda yao tena hapo kuna nini.Lakini serikali itakuwa na la kujitetea kuanzia hiyo tarehe 1.11, itakapoanza sasa kusafisha, atakaye kutwa ni kumbakumba tu!!ningekuwa mimi ningetangaza kabisa tarehe hiyo JWTZ, ndio watafanya usafi wa jiji, sasa basi lawama hatutaki!!
 
Nimeona picha za baadhi ya maeneo waliondolewa wamachinga sijaamini jinsi kulivyo!jamaa walikua wanalichafua hilo jiji
 
Kabla sijaanza kufanya biashara ( za kuunga unga ) nilikuwa naona hao jamaa ( machinga ) ni watu wasio heshimu sheria na ni watu wakorofi, kumbe mkorofi ni mimi aisee..
 
Back
Top Bottom