Viongozi wa machinga Dar wakumbana na vurugu wakiwapanga wenzao

Viongozi wa machinga Dar wakumbana na vurugu wakiwapanga wenzao

Wafurushwe,miji na majiji yakae sawa..Na kila anayekuja mjini ajue anakuja na mipango inayoeleweka..sio kuja kujenga vibanda vichafu kwenye miundombinu ya barabara.
Wasafishwe mpaka vijijini yani pasiachwe mahala. Kila kona ta nchi iwe nyeupe. Hawataki warudi kulima vinginevyo waende walipopangwa.
 
Eeh kama waliokomaa yani for five years ni uhakika!
Washkaji wengi miaka hii mitano wametengeneza mitaji mikubwa wapo vizuri sasa hivi... alafu kina sandaland wameanzia uko uko ila wao hawataki wenzao wayatoe
 
Back
Top Bottom