Viongozi wa Simba naomba muweke mkeka wa wanachama, mashabiki na viongozi wote waliochangia hadi sasa ili tuanze kusutana wenyewe kwa wenyewe

Viongozi wa Simba naomba muweke mkeka wa wanachama, mashabiki na viongozi wote waliochangia hadi sasa ili tuanze kusutana wenyewe kwa wenyewe

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Kuna watu wanajifanya wanaipenda Simba lakini hadi hawajachangia hata sumni halafu wao ndio wanajiona mastaa wa kuisemea Simba, ukiwaona mitaani ama uwanjani wanajifanya wao ndio Simba kweli kweli lakini kwenye kuchangia timu wako mbaali.

Timu yetu imewasilisha hoja ya kuchangia adhabu iliyotolewa na Caf kwa madai tulishiriki kufanya fujo kwenye mchezo vs Csxfien ya Tunisia na tumetakiwa kulipa dola efu 40,000, hoja hii imetokana naa mashabiki wengi kuomba tulipe wenyewe kwa sababu sisi ndio tumekosa, yaani kimsingi sisi washabiki ndio tumeigharimu timu yetu hivyo lazima tulipe deni hilo sisi wenyewe, kumbuka hii ni adhabu ya pili kwa sababu adhabu ya kwanza tulikwishabebeshwa na serikali.

Sasa ombi langu kwa viongozi wa Simba, wekeni mkeka wa watu wote waliochangia ili tuangalie majina yetu huku kwenye matawi tujue nani katuchangia na nani hajachanga ili tuanze msako wa nyani na kuwajua wasaliti wa timu yetu ni nani, maana tutawauliza wenzetu ambao hawajachanga kwanini hawajachanga, kwanini hiyo hela ambayo walipanga kukatia tiketi jumapili wasichangie klabu yetu?

Wekeni mkeka huo viongozi.
 
Simba haikuwasilisha hoja ya kuchangiwa Bali washabiki waliomba Kama sehemu ya kuwajibika maana adhabu ilitokana na fujo za mashabiki.
Usitegemee wanachama wakatoa mchango Kama ada zenyewe kulipa ni tatizo
Wanaweza kuchangia kwa haraka ni wanachama wa mkoani kwani wale wako Simba kwa mapenzi zaidi kuliko wanachama wa mjini ambao wako kimaslahi zaidi wanasubiri Hadi kadi walipiwe.
Wangeweza kushirikiana hata na Sandland ili Kila jezi inayouzwa sehemu ya pesa ichangie faini na wakati huohuo wakahamasisha mashabiki wanunue jezi ili sehemu ya mapato ikatumika kulipa faini.
 
Kuna watu wanajifanya wanaipenda Simba lakini hadi hawajachangia hata sumni halafu wao ndio wanajiona mastaa wa kuisemea Simba, ukiwaona mitaani ama uwanjani wanajifanya wao ndio Simba kweli kweli lakini kwenye kuchangia timu wako mbaali.

Timu yetu imewasilisha hoja ya kuchangia adhabu iliyotolewa na Caf kwa madai tulishiriki kufanya fujo kwenye mchezo vs Csxfien ya Tunisia na tumetakiwa kulipa dola efu 40,000, hoja hii imetokana naa mashabiki wengi kuomba tulipe wenyewe kwa sababu sisi ndio tumekosa, yaani kimsingi sisi washabiki ndio tumeigharimu timu yetu hivyo lazima tulipe deni hilo sisi wenyewe, kumbuka hii ni adhabu ya pili kwa sababu adhabu ya kwanza tulikwishabebeshwa na serikali.

Sasa ombi langu kwa viongozi wa Simba, wekeni mkeka wa watu wote waliochangia ili tuangalie majina yetu huku kwenye matawi tujue nani katuchangia na nani hajachanga ili tuanze msako wa nyani na kuwajua wasaliti wa timu yetu ni nani, maana tutawauliza wenzetu ambao hawajachanga kwanini hawajachanga, kwanini hiyo hela ambayo walipanga kukatia tiketi jumapili wasichangie klabu yetu?

Wekeni mkeka huo viongozi.
Nawaza pale Kalpana atakapomsuta GENTAMYCINE
 
Kuna watu wanajifanya wanaipenda Simba lakini hadi hawajachangia hata sumni halafu wao ndio wanajiona mastaa wa kuisemea Simba, ukiwaona mitaani ama uwanjani wanajifanya wao ndio Simba kweli kweli lakini kwenye kuchangia timu wako mbaali.

Timu yetu imewasilisha hoja ya kuchangia adhabu iliyotolewa na Caf kwa madai tulishiriki kufanya fujo kwenye mchezo vs Csxfien ya Tunisia na tumetakiwa kulipa dola efu 40,000, hoja hii imetokana naa mashabiki wengi kuomba tulipe wenyewe kwa sababu sisi ndio tumekosa, yaani kimsingi sisi washabiki ndio tumeigharimu timu yetu hivyo lazima tulipe deni hilo sisi wenyewe, kumbuka hii ni adhabu ya pili kwa sababu adhabu ya kwanza tulikwishabebeshwa na serikali.

Sasa ombi langu kwa viongozi wa Simba, wekeni mkeka wa watu wote waliochangia ili tuangalie majina yetu huku kwenye matawi tujue nani katuchangia na nani hajachanga ili tuanze msako wa nyani na kuwajua wasaliti wa timu yetu ni nani, maana tutawauliza wenzetu ambao hawajachanga kwanini hawajachanga, kwanini hiyo hela ambayo walipanga kukatia tiketi jumapili wasichangie klabu yetu?

Wekeni mkeka huo viongozi.
Kinachoendelea ni aibu kubwa
 
Kuna watu wanajifanya wanaipenda Simba lakini hadi hawajachangia hata sumni halafu wao ndio wanajiona mastaa wa kuisemea Simba, ukiwaona mitaani ama uwanjani wanajifanya wao ndio Simba kweli kweli lakini kwenye kuchangia timu wako mbaali.

Timu yetu imewasilisha hoja ya kuchangia adhabu iliyotolewa na Caf kwa madai tulishiriki kufanya fujo kwenye mchezo vs Csxfien ya Tunisia na tumetakiwa kulipa dola efu 40,000, hoja hii imetokana naa mashabiki wengi kuomba tulipe wenyewe kwa sababu sisi ndio tumekosa, yaani kimsingi sisi washabiki ndio tumeigharimu timu yetu hivyo lazima tulipe deni hilo sisi wenyewe, kumbuka hii ni adhabu ya pili kwa sababu adhabu ya kwanza tulikwishabebeshwa na serikali.

Sasa ombi langu kwa viongozi wa Simba, wekeni mkeka wa watu wote waliochangia ili tuangalie majina yetu huku kwenye matawi tujue nani katuchangia na nani hajachanga ili tuanze msako wa nyani na kuwajua wasaliti wa timu yetu ni nani, maana tutawauliza wenzetu ambao hawajachanga kwanini hawajachanga, kwanini hiyo hela ambayo walipanga kukatia tiketi jumapili wasichangie klabu yetu?

Wekeni mkeka huo viongozi.
Huwezi kutoa kaa kimya tu, mengine unayohitaji ni kazi ya wanawake
 
Back
Top Bottom