π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ yani sikutegemea kucheka hivyo
Kwanini? Sema tu picha yako ukiwa unang'oa viti 23, tunaisakaπ€£ π€£ π€£ π€£ π€£ yani sikutegemea kucheka hivyo
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ Tate nimecheka sana dooo...nilikua napita hapa krb na ukumbi wa JK kesho ndo kesho mji umejaa kijani...kama una mke wako kaja huku eti kwny mkutano wa chama umeula wa chuyaKalpana kwenye zile vurugu, ndiyo alikuwa mwanamke pekee aliyekuwa aking'oa viti vyetu na kuwarushia Waarabu kwa kasi ya ajabu!! Mwanamke ana nguvu yule! Acha kabisa.
Ahahahha ila ningekuwepo ninge ngo'a hahahKwanini? Sema tu picha yako ukiwa unang'oa viti 23, tunaisaka
Kwani kiti kimoja shilingi ngapi?Leo nimeongezea buku 2
Mi sijui banaKwani kiti kimoja shilingi ngapi?
π€£ π€£ π€£ π€£Nawaza pale Kalpana atakapomsuta GENTAMYCINE
ππ€£π Alikuwa nani huyo mwarabu au Ngoma maana naye alipiga hadi magoti wakati watu wamevurugwa ππ€£Aisee ni hatari sana nilikua nimeshika cha 24 nikasikia nimepigwa kofi la mgongo nikaacha... π€£ π€£ π€£
Alikua kiongozi mmoja wa Simba alisema achaa upumbavuuu shenziiii paaaaaa...ππ€£π Alikuwa nani huyo mwarabu au Ngoma maana naye alipiga hadi magoti wakati watu wamevurugwa ππ€£