Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Link ya mazungumzo naipataje wadau
Kabisa, hataki ushauri wa wataalamu; yeye anataka kwenda kwa mtindo wake hataki hadithi za diplomatic ritual kwenye utendaji wake.Wote hao hawataki kuwasikia yaani trump hawataki establishment
Trump anataka kuzungukwa na watu kama jd vance, elon musk, michael rubio ambao hawana experience yeyote ile ya nchi yao na dunia kwa ujumla
Kuna mambo musk anaongea sio mmarekani lakin unasikitika sana kuna mambo mengi sana kwenye siasa hayajui na ndo watu wa karibu wa trump
Naomba link yao mkuu
😂😂😂Kila Raisi anaeenda kuonana na trump kwa sasa anapangiwa miadi na psychologist wake aampe mbili tatu za kukabiliana trump mindset......
Magufuli'z style of leadershipKabisa, hataki ushauri wa wataalamu; yeye anataka kwenda kwa mtindo wake hataki hadithi za diplomatic ritual kwenye utendaji wake.
Walau Magufuli alikuwa anafanyia kwenye siasa za ndani.Magufuli'z style of leadership
Mimi samia nilishaacha kumsikiliza mda sana ukiniambia ni mara ya mwisho ni lini nimeshikiliza hotuba yake sikumbuki ni mtu amenifanya nione maisha ni jambo la ajabu sana na amenifanya hata nafasi ya urais nimeichukulia ya kawaida sana mimi mtu kuwa rais anawezi niogopesha kama ilivyokuwa kipindi cha nyumaNa hasa kwenye uongozi... Unaweza kuokota dodo chini ya mnazi!
SSH ukimsikiliza kwa makini unasema daah hakuna haja ya kupeleka mtoto formal education!
Emmanuel Macron alimbagaza vibaya Trumpet!Kila Raisi anaeenda kuonana na trump kwa sasa anapangiwa miadi na psychologist wake aampe mbili tatu za kukabiliana trump mindset......
Unasahau alienda Kenya akavuruga hali ya hewani??Walau Magufuli alikuwa anafanyia kwenye siasa za ndani.
Trump anaishi kwenye fanatsy ya hali ya juu sana hata ukimsikiliza kipindi cha kampeni zilikuwa ni pure fantasy anazozitoaKabisa, hataki ushauri wa wataalamu; yeye anataka kwenda kwa mtindo wake hataki hadithi za diplomatic ritual kwenye utendaji wake.
Magufuli unamuonea kwa sababu Tanzania ni nchi ambayo haina ushawishi wowote duniani chochote atakachoongea magufuli hakuna mtu aliyekichukulia serious na hakikua na impact yeyote ileUnasahau alienda Kenya akavuruga hali ya hewani??
Rais wa US kwa sasa ni Elon MuskTrump anaishi kwenye fanatsy ya hali ya juu sana hata ukimsikiliza kipindi cha kampeni zilikuwa ni pure fantasy anazozitoa
Trump ni kama kijana ambaye hana experience ya maisha kwa hiyo anakua yuko dictated na fantasy kwenye kila jambo analoliona ni mtu mzima kiumbo ila kiakili ni kama kijana wa miaka 18
Sometimes inabidi iwe hivyoHow on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.
Umenena kweli kabisa, kumbe vile vituo vya Afya ni msaada wa Watu wa Marekani na Sio Samia...... CCM waongo sanaMoja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?
Yeye anadhani kwasababu MAGA wanataka change basi hiyo inampa ni blank check kwa chama chake kufanya chochote wanachoweza.Nafikiria namna alivyoongelea kwenye kitabu chake changamoto za ku water down maswala ambayo Trump alikuwa anataka kuyaongea na viongozi wenzake.
Sasa hivi inaonekana huko white house hakuna wa kumfunga kamba Trump ni mwendo wa free flaw .
Zaidi ya viongozi wa Ujerumani, UK na France, hakuna mwenye kutaka kuongea na TrumpTrump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.
Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.
Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .
Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?
Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?
Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.
The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?
Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,
Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .
Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.
Dr Megalodon,
Rue 52
Ni matatizo ya policy zao wote, NATO hawataki kwenda vitani na Russia. Hivyo wanamtegemea US ama amsaidie Ukraine kuzima moto, au asiuzime uenee kote East Europe kisha waingie vitani kama NATO kumdhibiti Putin.Trump derangement syndrome!
Kubishana wabishane wote, akiwemo Zelenskyy, lakini lawama anapewa Trump peke yake kana kwamba alikuwa anabishana peke yake.
Funzo: ukiwa ombaomba hayo ndo madhara yake.
Unafunga safari toka Ukraine kwenda Washington DC kuomba wakupige tafu halafu unaleta ujeuri.
What do you expect?
Jengeni nchi zenu na muache kuwa ombaomba.
Mimi nitakufa na shida zangu kabla sijauweka rehani utu wangu kwa kuwa ombaomba.
Potelea mbali. Kufa na heshima yangu ni bora maradufu kuliko uhai wa kudhalilishwa.
JPM's fanatics hawatakuelewaZelensky amenikosha sana... Hivi huyu wa kwetu anaweza kututetea?
Mwl. Nyerere, Mkapa wangeweza!