Kuna kitu kinaitwa kazi na dawa, bata batani!. Utafiti umethibitisha ukiwapa watu raha, matamasha, kula bata batani, ku enjoy life, watu wenye raha na furaha wanazalisha zaidi kuliko watu wenye huzuni, shida na matatizo lukuki. Mungu alimuumba binadamu ili apate raha.
P