Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 222
- 1,827
Mufti Abubakar Zubeir amedaiwa kuwa hajui namna ya kuendesha BAKWATA kiutawala na kwa hivyo tokea ameingia madarakani amekuwa akiendesha ofisi yake na BAKWATA kama duka lake au genge.
Endapo mamlaka ikiamua kufanya uchunguzi wa kina itaona kuwa hiyo ndio hali ilivyo ndani ya BAKWATA.
Kiuhalisia ukiangalia mifumo ya Bakwata japokuwa ni ya kizamani na haiendani na hali ilivyo sasa katika jamii ya waislamu lakini kama ingekuwa pia inafuatwa ipasavyo ingeweza kwa kiasi fulani kuleta mabadiliko mazuri ndani ya Bakwata.
Bakwata imekuwa inaendeshwa kwa matukio (Baraza la Eid, Msimu wa Hijja, Maulidi n.k), ili fedha zikusamywe kwa matumizi ya tukio,lakini zinaishia mifukoni mwa wachache.
MATATIZO YA BAKWATA
Tatizo kubwa la Bakwata, ni uongozi dhaifu wa Sheikh Abubakar Zubeir-Mufti wa Tanzania na Sheikh Mkuu.Amepoteza mwelekeo,na kujikuta yupo nje ya Madhumuni halisi ya Bakwata.
Viongozi waandamiziwa wa Bakwata kama vile Katibu Mkuu,Mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa,Mhasibu Mkuu,Mkurugenzi wa Hija, Mkurugenzi wa Elimu,na kadhalika; wanaujua vizuri udhaifu wa Mufti Abubakar Zubeir Kwani wamekuwa wakitumika kwa Mufti kumtafutia au kumkusanyia hela toka wa wafadhili mbalimbali. Pia wanajua jinsi ya kumfikisha Mufti Abubakar Zubeir afanye jambo lao.
Mambo haya, yamepelekea Tume kujiuzulu:
Endapo mamlaka ikiamua kufanya uchunguzi wa kina itaona kuwa hiyo ndio hali ilivyo ndani ya BAKWATA.
Kiuhalisia ukiangalia mifumo ya Bakwata japokuwa ni ya kizamani na haiendani na hali ilivyo sasa katika jamii ya waislamu lakini kama ingekuwa pia inafuatwa ipasavyo ingeweza kwa kiasi fulani kuleta mabadiliko mazuri ndani ya Bakwata.
Bakwata imekuwa inaendeshwa kwa matukio (Baraza la Eid, Msimu wa Hijja, Maulidi n.k), ili fedha zikusamywe kwa matumizi ya tukio,lakini zinaishia mifukoni mwa wachache.
MATATIZO YA BAKWATA
Tatizo kubwa la Bakwata, ni uongozi dhaifu wa Sheikh Abubakar Zubeir-Mufti wa Tanzania na Sheikh Mkuu.Amepoteza mwelekeo,na kujikuta yupo nje ya Madhumuni halisi ya Bakwata.
Viongozi waandamiziwa wa Bakwata kama vile Katibu Mkuu,Mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa,Mhasibu Mkuu,Mkurugenzi wa Hija, Mkurugenzi wa Elimu,na kadhalika; wanaujua vizuri udhaifu wa Mufti Abubakar Zubeir Kwani wamekuwa wakitumika kwa Mufti kumtafutia au kumkusanyia hela toka wa wafadhili mbalimbali. Pia wanajua jinsi ya kumfikisha Mufti Abubakar Zubeir afanye jambo lao.
Mambo haya, yamepelekea Tume kujiuzulu: