Viongozi wa Tume ya Marekebisho ya BAKWATA wajiuzulu. Mufti Abubakar Zubeir adaiwa kuiendesha kama genge

Viongozi wa Tume ya Marekebisho ya BAKWATA wajiuzulu. Mufti Abubakar Zubeir adaiwa kuiendesha kama genge

Matatizo yote yatamalizwa iwapo WaIslam watakubali kuongozwa na Askofu Mkuu toka Catholic au Lutheran.

Jambo hili wala haliweza kuathiri Iman,bali kuongeza ufanisi na maadili ktk utendaji kazi.

Najua wapo watakaoshangaa na kuhoji uwezekano wa kuongozwa na Mgalatia lakini leo hii UK inaongozwa na Waziri Mkuu from India !.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa ni mkorofi sana ujue. Sijui huko nyumbani unaishi vipi na shemeji yetu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si kweli kuwa Uislam hautambui uongozi wa mwanamke.

Uislam ulikuja kumweka huru mwanamke.

Usikae unadanganya watu kwa "ignorance" na "phobia" ulizojazwa.

Acha kujitoa ufahamu ajuza,afgan wamepiga marufuku wanawake kusoma wala kufanya kazi,tambua talebani wanaishi misingi ya kurwani.
 
Bakwata ukipeleka kesi ya talaka makatibu wanataka pesa kuanzia 200k
Vile visheikh by pale temeke bakwata ht kuswali hawaswali,unaenda kuomba talaka badala akusaidie analeta see za kukuoa na Wana maneno ya hovyoo tena matusi kabisaaa
Nimeamua ku muislam tu w kufata Quran,Sunna na fiqh only that

Dini ya uislamu imejaa,sexmanic creatures,hasa hao mashehe ubwabwa.
 
Si kweli kuwa Uislam hautambui uongozi wa mwanamke.

Uislam ulikuja kumweka huru mwanamke.

Usikae unadanganya watu kwa "ignorance" na "phobia" ulizojazwa.
Sio kweli, kuna mistari na hadithi zinaelezea hilo tena vema kabisa na wapo sahihi.

Hata kwenye familia wewe muachie mkeo afanye maamuzi ya mwisho uone hiyo ndoa kama mtatoboa hata miaka 10 bila kusambaratika kuanzia baba na mama hadi watoto.
 
Tofauti ya BWAKA na jumuiya za Kikristo ni kuwa Bakwata hudhani kuwa wao ni sehemu ya serikali. Wakiibiana wanakimbilia kuomba serikali isaidie. Wakristo wakiibiana wanachapata makofi hata kuvutana tai wao wenyewe mpaka wanaamua kukimbilia mahakamani kutafuta utatuzi kisheria.

serikali haina dini
 
Hadithi nyingi si za kuamini kichwa kichwa, zina sayansi yake.

Binafsi kama hadithi haiendani na Qur'an, hiyo siifati.
 
Acha kujitoa ufahamu ajuza,afgan wamepiga marufuku wanawake kusoma wala kufanya kazi,tambua talebani wanaishi misingi ya kurwani.
Unajua mataifa ya kimagharibi yamewaharibu sana wanawake kiasi kwamba wanaanza kukengeuka hata mbele ya vitabu vya MUNGU.

Kwahiyo ukiona wanaongea hivi ni effect ya mataifa ya magharibi yamewaharibu sana akili hawa wanawake.
 
Interesting Kwa ufupi Sisi watu weusi hatuna kabisa uwezo wa kujiongoza.

Hata hayo makanisa ni sababu Yana wazungu wako juu wanatoa maelekezo...
🤣🤣🤣🤣Ukaona usifie pekee yako utafute collateral
 
Siyo kweli kabisa haya unayosema. Kwanza hiyo elimu unayosema ni ya wote siyo ya kujinasibu kwa wakristo tu. Hebu soma historia uone asili ya taaluma mbali mbali ndiyo utaelewa vizuri tu.

Wacha kueneza uongo na uzushi eti elimu dunia ni haramu katika uislamu. Na uwache kukariri mambo unayoambiwa huko kwenye taasisi yako ya dini bila uthibitisho.
Achana nae huyo mjinga amejaa upumbavu mwingi mno hlf ni kichwa cha familia ety kichwa chake kimejaa tope

Kuna huyu jiwe angavu,che mittoga,yule mkenya mk254,azarel ni mijitu mijinga kupita kiasi
 
Visheikh vya pale Temeke [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli visheikh tu havina hofu na Mungu viko pale kujuana tu
Hivi mchamungu adhaa inaita msikitini wao wanapiga tu soga hawana habari Wala kushtuka
Unapelek shauri la talaka wanataka pesa ndo wakusidie
Sio nawasingizannna ushahid mpk wa msg wao Sunna ni mathnaaa,thalathaaa wa a rbaaaa!!!!!!
Mimi ni muislam naiamin Quran na Sunna na vitabu vingine vya Allah s w
 
Achana nae huyo mjinga amejaa upumbavu mwingi mno hlf ni kichwa cha familia ety kichwa chake kimejaa tope

Kuna huyu jiwe angavu,che mittoga,yule mkenya mk254,azarel ni mijitu mijinga kupita kiasi
yaani uongo wao mpaka unachosha kabisa
 
Dada eee talaka akishakupa mume inatosha haya ndo maamrisho sahihi ya dini yetu hayo mambo mengine ni ulaji tu wa watu
Mme hataki kutoa talaka!!!!!na Kuna mazingira kidini talaka inaswihi kabisaaa!!ndo maana tukaenda bakwata
 
Dini ya uislamu imejaa,sexmanic creatures,hasa hao mashehe ubwabwa.
Am sorry brother sijakashifu dini Yako tafadhali naheshimu uhuru wa kuabudu wa Kila mtu
Niache na dini yangu ya kiislam,iw mbaya au nzuri ni yangu ,siwezi kukudhihaki wewe,nimezaliwa ktk wazazi wawili ambao mmoja ni Anglican na mwingine ni Muislam!!ningeamua kua mkristo Wala wasingeshangaa nanisingetengwa pia
Naomba Sanaa Tena mnoo usikoment kwenye kukashifu dini kwangu Mimi
Maana nikitukana ukristo natukana mtu aliyeniweka tumboni miezi Tisa
Am so sorry brother
 
Hao wajumbe wawili waliobaki wanasubiri nini kuachia ngazi, au ni magwiji ngoma hiyo wataiweza? All in all dini gani hiyo inajiingiza kwenye migogoro ya mali yenyewe kwa yenyewe? Kama vipi wawaachie tu hao wazee hizo mali na wakatafute na kuanzisha zingine. Wafanye kama wametoa sadka na shukrani kwa hao wazee wao wa dini
Fanya adabu kidogo, waliojiingiza kwenye migogoro ni bakwata, siyo dini.
 
Si kweli kuwa Uislam hautambui uongozi wa mwanamke.

Uislam ulikuja kumweka huru mwanamke.

Usikae unadanganya watu kwa "ignorance" na "phobia" ulizojazwa.
mbona kama unaongea nje ya dini mpendwa wangu, hapa unaongea kwa mukhtadha wa siasa tu dini haitambui hayo
 
Interesting Kwa ufupi Sisi watu weusi hatuna kabisa uwezo wa kujiongoza.

Hata hayo makanisa ni sababu Yana wazungu wako juu wanatoa maelekezo...
Aliyekudanganya maneno hayo nani?
 
Back
Top Bottom