Viongozi wa Tume ya Marekebisho ya BAKWATA wajiuzulu. Mufti Abubakar Zubeir adaiwa kuiendesha kama genge

Viongozi wa Tume ya Marekebisho ya BAKWATA wajiuzulu. Mufti Abubakar Zubeir adaiwa kuiendesha kama genge

Huwa mnatuaminishaga kuwa waislamu ni watu wasafi kimaadili
Usichanganye Uislam na taasisi iliyoanzishwa na serikali.

Hao wakuu wa Bakwata wote ni system, hata hiyo tume ya kuchunguza nayo yote ni system. Wamemaliza assignment moja wapo kwenye assignments zingine.

Hapo ni "mbwa kala mbwa".
 
21 January 2023
TOKA MAKTABA :

Makao makuu ya BAKWATA
Tanzania

TAARIFA KWA UMMA TOKA KWA MUFTI NA SHEIKH MKUU WA TANZANIA, ABUBAKAR ZUBEIR ALLY MBWANA





Kupitia mafanikio na changamoto katika uongozi wa miaka 7 ya Mufti na Sheikh mkuu wa Tanzania Abubakar Zubeir Ally Mbwana, mheshimiwa mufti ameunda Tume ya Maboresho ..
 
Sheikh Issa Othman Issa, ameandika barua ya kujiuzulu katika wadhifa wake wa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya Bakwata.

343684903_783601160085682_734928120908634445_n.jpg
Sheikh Issa Othman Issa.
Sheikh Issa Othman Issa, ameandika barua kwa Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir ya kujiuzulu katika wadhifa wake wa Mwenyekiti wa Tume ya Maboresho ya Bakwata.

Sheikh Issa aliteuliwa na Mufti Zubeir, Januari mwaka huu 2023 kuwa mwenyekiti wa tume hiyo ambayo pamoja na mambo mengine, ilikuwa na jukumu la kuhakiki na kufuatilia mali za Bakwata zilizokuwa zinamilikiwa na watu wengine kinyume na sheria.
 
Viongozi Taasisi za Dini wanayofundisha na wanavyo ishi mungu ndo anajua.
 
Mufti zuber na kuongoza wapi na wapi!

Ova
 
Bakwata wana katiba inayosema waislamu wote ni wanachama wake. Hii inapingana na katiba ya nchi inayotoa uhuru wa kujiunga na Jumuia yoyote apendayo mtu.
Na sasa serikali inalazimisha taasisi zote za kiislamu ziweke kwenye katiba tamko la kujiweka chini ya Bakwata.
 
Sio kweli, ukweli ni kuwa Wanawake wamepewa kipa umbele katika uislamu

1. Wa kwanza kuwa Muislam na kutambua utume na unabii wa Mtume Muhammad ni mwanamke,Bi khadija,na miongozo mingi,Mtume Muhammad,aliupata kutoka kwa bi Hadija, na pia Mtume Muhammad ,alifanya biashara chini ya uongozi wa Bi Khadija.Na alikuwa ni mkewe.

2. Mwanamke wa pili aliyepokea Uongozi(hadithi,tradition)za mtume Muhamaad ni Bi Aisha,na mpaka leo mafunzo ya Mtume Muhammad, kupitia huyu Bi Aisha, hadithi (tradition), yanafuatwa.

3. Bi Maryam, Mama wa Nabii Issa ni mwanamke, na kuna chapter nzima,ndani ya Qur'an ina jina lake.

4. Bi Asia, aliyekuwa mke wa Firauni, mwanamke aliyekataa kumfuata Firauni, amepewa kipa umbele katika uislamù

5. Na wanawake wengine wengi, wapo.
Unadanganya kwa kutumia uongo mtakatifu takiya

Ao uliowataja Muhammad kasema peponi watakuwa wake zake , mpaka mama wa Isa pedophile kadai atakuwa mke wake

Tukija kwa wanawake
Kadai mwanamke ni nusu ya akili ya mwanaume
Kadai mbwaweusi na Punda na mwanamke wakipita sala haikubaliki
Kadai wanawake wataenda motoni
 
Unadanganya kwa kutumia uongo mtakatifu takiya

Ao uliowataja Muhammad kasema peponi watakuwa wake zake , mpaka mama wa Isa pedophile kadai atakuwa mke wake

Tukija kwa wanawake
Kadai mwanamke ni nusu ya akili ya mwanaume
Kadai mbwaweusi na Punda na mwanamke wakipita sala haikubaliki
Kadai wanawake wataenda motoni
 
Mufti Abubakar Zubeir amedaiwa kuwa hajui namna ya kuendesha BAKWATA kiutawala na kwa hivyo tokea ameingia madarakani amekuwa akiendesha ofisi yake na BAKWATA kama duka lake au genge.

Endapo mamlaka ikiamua kufanya uchunguzi wa kina itaona kuwa hiyo ndio hali ilivyo ndani ya BAKWATA.

Kiuhalisia ukiangalia mifumo ya Bakwata japokuwa ni ya kizamani na haiendani na hali ilivyo sasa katika jamii ya waislamu lakini kama ingekuwa pia inafuatwa ipasavyo ingeweza kwa kiasi fulani kuleta mabadiliko mazuri ndani ya Bakwata.

Bakwata imekuwa inaendeshwa kwa matukio (Baraza la Eid, Msimu wa Hijja, Maulidi n.k), ili fedha zikusamywe kwa matumizi ya tukio,lakini zinaishia mifukoni mwa wachache.

MATATIZO YA BAKWATA

Tatizo kubwa la Bakwata, ni uongozi dhaifu wa Sheikh Abubakar Zubeir-Mufti wa Tanzania na Sheikh Mkuu.Amepoteza mwelekeo,na kujikuta yupo nje ya Madhumuni halisi ya Bakwata.

Viongozi waandamiziwa wa Bakwata kama vile Katibu Mkuu,Mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa,Mhasibu Mkuu,Mkurugenzi wa Hija, Mkurugenzi wa Elimu,na kadhalika; wanaujua vizuri udhaifu wa Mufti Abubakar Zubeir Kwani wamekuwa wakitumika kwa Mufti kumtafutia au kumkusanyia hela toka wa wafadhili mbalimbali. Pia wanajua jinsi ya kumfikisha Mufti Abubakar Zubeir afanye jambo lao.

Mambo haya, yamepelekea Tume kujiuzulu:


View attachment 2605185
View attachment 2605820
View attachment 2605190
Mkuu Ex Spy
Shukrani kwa kuanziasha uzi mzuri,
lakini umepunguza 'madini' uliyoweka awali,
umeupunja sana. Sijajua kwanini umefuta
taarifa muhimu ulizoweka mwanzo.
 
Lakini huyo Mwenyekiti aliyejiuzulu, nadhani naye alikuwa hatoshi. Kwanini kawaunganisha wenzake kwenye barua yake ya kujiuzulu. Anasema nimesikia. Barua yako ya kujiuzulu inamtaarifu mwenye mamlaka ya uteuzi kujiuzulu kwa wajumbe wengine? Nadhani si sawa. Kila mtu si angeandika barua yake?
Mufti Abubakar Zubeir amedaiwa kuwa hajui namna ya kuendesha BAKWATA kiutawala na kwa hivyo tokea ameingia madarakani amekuwa akiendesha ofisi yake na BAKWATA kama duka lake au genge.

Endapo mamlaka ikiamua kufanya uchunguzi wa kina itaona kuwa hiyo ndio hali ilivyo ndani ya BAKWATA.

Kiuhalisia ukiangalia mifumo ya Bakwata japokuwa ni ya kizamani na haiendani na hali ilivyo sasa katika jamii ya waislamu lakini kama ingekuwa pia inafuatwa ipasavyo ingeweza kwa kiasi fulani kuleta mabadiliko mazuri ndani ya Bakwata.

Bakwata imekuwa inaendeshwa kwa matukio (Baraza la Eid, Msimu wa Hijja, Maulidi n.k), ili fedha zikusamywe kwa matumizi ya tukio,lakini zinaishia mifukoni mwa wachache.

MATATIZO YA BAKWATA

Tatizo kubwa la Bakwata, ni uongozi dhaifu wa Sheikh Abubakar Zubeir-Mufti wa Tanzania na Sheikh Mkuu.Amepoteza mwelekeo,na kujikuta yupo nje ya Madhumuni halisi ya Bakwata.

Viongozi waandamiziwa wa Bakwata kama vile Katibu Mkuu,Mwenyekiti wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa,Mhasibu Mkuu,Mkurugenzi wa Hija, Mkurugenzi wa Elimu,na kadhalika; wanaujua vizuri udhaifu wa Mufti Abubakar Zubeir Kwani wamekuwa wakitumika kwa Mufti kumtafutia au kumkusanyia hela toka wa wafadhili mbalimbali. Pia wanajua jinsi ya kumfikisha Mufti Abubakar Zubeir afanye jambo lao.

Mambo haya, yamepelekea Tume kujiuzulu:


View attachment 2605185
View attachment 2605820
View attachment 2605190
 

Bado tuna ngojea Muhammad ashushiwe muujiza

Koran 10:20. Na wanasema: Kwa nini hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Mambo ya ghaibu ni ya Mwenyezi Mungu. Basi nyinyi ngojeni, na mimi ni pamoja nanyi katika wanao ngojea.
Tunapo ngojea tukumbuke Allah kasema hana muujiza
Koran
17:59 And We refrain from sending the signs, only because the men of former generations treated them as false:
 
Matatizo yote yatamalizwa iwapo WaIslam watakubali kuongozwa na Askofu Mkuu toka Catholic au Lutheran.

Jambo hili wala haliweza kuathiri Iman,bali kuongeza ufanisi na maadili ktk utendaji kazi.

Najua wapo watakaoshangaa na kuhoji uwezekano wa kuongozwa na Mgalatia lakini leo hii UK inaongozwa na Waziri Mkuu from India !.
Mbona tz tangu tupate uhuru wakiristo ndio viongozi hata hiyo bakwata inaongozwa na wakirisito sababu ndio walio iasisi
 
Interesting Kwa ufupi Sisi watu weusi hatuna kabisa uwezo wa kujiongoza.

Hata hayo makanisa ni sababu Yana wazungu wako juu wanatoa maelekezo...
Mimi nina uwezo wa kuongoza mkuu
 
Back
Top Bottom