Viongozi wa Tume ya Marekebisho ya BAKWATA wajiuzulu. Mufti Abubakar Zubeir adaiwa kuiendesha kama genge

Bakwata ukipeleka kesi ya talaka makatibu wanataka pesa kuanzia 200k
Vile visheikh by pale temeke bakwata ht kuswali hawaswali,unaenda kuomba talaka badala akusaidie analeta swaga za kukuoa na Wana maneno ya hovyoo tena matusi kabisaaa
Nimeamua ku muislam tu w kufata Quran,Sunna na fiqh only that
 
Ushauri, baraza la udhamini au bodi ya Bakwata iongezewe nguvu ya kisheria na sifa za kitaaluma kwa mtu mmoja mmoja. Bakwata isiwe na wafadhiri, michango ifanywe na wanachama wote, mapato na matumizi yasomwe kila wiki
 
Visheikh vya pale Temeke [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilishangaa walipomuomba rais mwanamke awasaidie kutatua wakati dini yao haitambu uongozi wa mwanamke
Sio kweli, ukweli ni kuwa Wanawake wamepewa kipa umbele katika uislamu

1. Wa kwanza kuwa Muislam na kutambua utume na unabii wa Mtume Muhammad ni mwanamke,Bi khadija,na miongozo mingi,Mtume Muhammad,aliupata kutoka kwa bi Hadija, na pia Mtume Muhammad ,alifanya biashara chini ya uongozi wa Bi Khadija.Na alikuwa ni mkewe.

2. Mwanamke wa pili aliyepokea Uongozi(hadithi,tradition)za mtume Muhamaad ni Bi Aisha,na mpaka leo mafunzo ya Mtume Muhammad, kupitia huyu Bi Aisha, hadithi (tradition), yanafuatwa.

3. Bi Maryam, Mama wa Nabii Issa ni mwanamke, na kuna chapter nzima,ndani ya Qur'an ina jina lake.

4. Bi Asia, aliyekuwa mke wa Firauni, mwanamke aliyekataa kumfuata Firauni, amepewa kipa umbele katika uislamù

5. Na wanawake wengine wengi, wapo.
 
Wewe umeelezea bizuri.
 
Dada eee talaka akishakupa mume inatosha haya ndo maamrisho sahihi ya dini yetu hayo mambo mengine ni ulaji tu wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…