Viongozi wa vyama vya siasa, Serikali na Bunge acheni unafiki shule zote za Serikali ziwe English medium watoto wenu mbona wanasoma English Medium?

Viongozi wa vyama vya siasa, Serikali na Bunge acheni unafiki shule zote za Serikali ziwe English medium watoto wenu mbona wanasoma English Medium?

Dah apo sasa ndo pagumu maana kweli Walimu wetu wengi Lugha shida, ila m binafsi natamani watoto wasome ngeli toka primary masomo yote.
Kiswahili Liwe somo kama la kujitegemea

Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wanaofundisha shule za English medium Ni watanzania na wamesoma vyuo vya ualimu vya Tanzania kwa taarifa yako diploma na digrii za ualimu wa shule za msingi husoma kwa kiingereza
 
Iko hivi. Kila mwalimu wa somo lolote anapaswa kumudu vizuri somo analo fundisha.

Hisabati na kiingereza ni baadhi ya masomo sumbufu kwetu.

Shida inaongezeka zaidi kwa lugha ya kiingereza kwasababu hakizungumzwi au kufanyiwa mazoezi kwa muda mrefu.

Kusema kiingereza ni lugha ya wakoloni au sijui mabeberu kama wengi wanavyojaribu kupotosha umma sasa ni kwasababu ya uvivu wetu tu.

Ningekuwa nina uwezo wa kimamlaka vituo vya ngumbaro za kiingereza vingeanza huko chini kabisa mitaani.

Raia kujua kiswahili kwa ufasaha ni jambo zuri. Wakijua na kutumia kiingereza hawapungukiwi kitu. Ninaongea kijerumani na kama ni uzalendo sina shaka nipo katika kumi bora za watanzania wazalendo kwa kauli na vitendo.

Tufanyie kazi jambo hili, tusiwe kama yule sungura mjanja aliyesema 'Sizitaki (ndizi) mbichi hizi' japo ndizi zilikuwa zimeiva.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya baraka ambayo watz hatujaitumia ni kiswahili. Tunang'ang'ania kiingereza sababu tuna mawazo kikoloni kwenda kumfanyia kazi mzungu na bado tunawaza kuwa kujua kiingereza ndiyo usomi, hili bado halijatutoka.
Hata huelewi unaongea nini!

Mwalimu alileta kiswahili mahsusi kwa kuididimiza elimu baada ya kuelezwa makundi yaliyoshiriki kumpindua 1964, hapo kitakuwaje nataka?

Aliambiwa in 20 years watu watakuwa wame cope up na kiswahili hivyo wasomi watakuwepo pamoja na kuharibu mfumo 1967, ndio maana Kwa kufuata ushauri wa makachero wa wingereza akatangaza kujiuzuru 1985! Nyuma ya kiswahili ni laana! What is the essence of literature review? Ukijua chanzo ni nusu ya solution!
 
Watu wanaongea kumbe hawajui , serikali ina shule 11 za msingi ambazo ni English medium ,shule hzo zipo kwenye majaribio . sasa ni mwaka
 
HATA SAA MBOVU KUNA WAKATI INASEMA UKWELI.

Sent using Jamii Forums mobile app
YEHODAYA ame-like hii comment yako and that must tell you a lot about him.

Wengi wa wana CCM ambao ni smart wapo kule kwa sababu wanafaidika na mfumo uliopo. They don't give a damn about mental liberation, sijui national development, sijui fellow Tanzanians, all of those are bullshits.

Lakini inafika kipindi wanaona kabisa this is not right, ndio kina Yehodaya wanaamua kusema kama hivi.

Sasa unakutana na wale walioshindwa kubaki katika misimamo yao kama Pascal Mayalla wanaamua kujipendekeza maana they have heard a lot about mental liberation, national development and fellow Tanzanians
 
Watu wanaongea kumbe hawajui , serikali ina shule 11 za msingi ambazo ni English medium ,shule hzo zipo kwenye majaribio . sasa ni mwaka
Serikali English medium wanazo siku nyingi hazijaanza juzi Mfano olyimpio primary school Dar es salaam ni ya miaka mingi.Ila ni chache zilikuwa kwa ajili ya watoto wa mabalozi wa Tanzania walioko balozi zetu nje ya nchi kusoma ili wakienda kwa wazazi wao nje ya nchi Wawe vizuri.

Ziko toka kipindi Cha Nyerere ila zilikuwa chache kwa ajili ya watoto wa waheshimiiwa ila sasa hivi yeyote anaenda ila chache
 
Licha ya kuwa Mwalimu ndio nguzo kuu ya Umaskini na Ujinga Tanzania ana wafuasi ambao hawaelewi kitu kabisa. Sijui hata walilishwa nini na wazee wao.
Bila Mwalimu hii nchi leo ingekuwa Somalia wewe. Wazee wa Kariakoo walivyokuwa wamejipanga kuitwaa Tanganyika na ajenda zao tusingesalimika wewe. Fikiria historia anayoihubiri Mzee Mohamed Said ndio ingekuwa historia inayofundishwa mashuleni leo na "vitabu" vyake ndio vingekuwa vitabu vya kiada mashuleni leo! Dah!

Apumzimke kwa amani Mwl. J. K. Nyerere jemadari wa nyakati zote.
 
Nimejifunza kitu kuhusu mabadiliko ya lugha ya kufundishia na sababu zilizopelekea, sikuwahi kulijua hili.... shukrani sana mkuu Kasimba G.
 
Bila Mwalimu hii nchi leo ingekuwa Somalia wewe. Wazee wa Kariakoo walivyokuwa wamejipanga kuitwaa Tanganyika na ajenda zao tusingesalimika wewe. Fikiria historia anayoihubiri Mzee Mohamed Said ndio ingekuwa historia inayofundishwa mashuleni leo na "vitabu" vyake ndio vingekuwa vitabu vya kiada mashuleni leo! Dah!

Apumzimke kwa amani Mwl. J. K. Nyerere jemadari wa nyakati zote.

INGEKUA

Tunataka prove ya hiyo ingekua yako. Mana sisii tuna prove ya umaskini na Ujinga.
 
Hata huelewi unaongea nini!

Mwalimu alileta kiswahili mahsusi kwa kuididimiza elimu baada ya kuelezwa makundi yaliyoshiriki kumpindua 1964, hapo kitakuwaje nataka?

Aliambiwa in 20 years watu watakuwa wame cope up na kiswahili hivyo wasomi watakuwepo pamoja na kuharibu mfumo 1967, ndio maana Kwa kufuata ushauri wa makachero wa wingereza akatangaza kujiuzuru 1985! Nyuma ya kiswahili ni laana! What is the essence of literature review? Ukijua chanzo ni nusu ya solution!
Unafikiri kwanini wakoloni walitufundisha kwa kiingereza? Kwanini nchi kama Korea, China na Japan waliammua kuujifunza elimu ya magharibi kwa lugha zao? Hiyo story ya Nyereree kutumia kiswahili ili kudumaza elimu ni conspiracy tu. Unaamini mtu akijifunza kwa kiingreza anaelimika zaidi kuliko aliyejifunza kwa kiswahili?
 
Unafikiri kwanini wakoloni walitufundisha kwa kiingereza? Kwanini nchi kama Korea, China na Japan waliammua kuujifunza elimu ya magharibi kwa lugha zao? Hiyo story ya Nyereree kutumia kiswahili ili kudumaza elimu ni conspiracy tu. Unaamini mtu akijifunza kwa kiingreza anaelimika zaidi kuliko aliyejifunza kwa kiswahili?
Usibebwe na upepo kirahisi, use your brain, kiswahili ni lugha 'Toto' hakina vocabularies kama hizo lugha nyingine za asili, eti 'password' inaitwa nywiwa kwa asili ipi? Nadhani kiswahili kina utapeli mwingi especially kwa waendelezaji lugha wake!

Kichina, kikorea nk ni lugha za awali, kiswahili kinashindwa Hata na vernaculars zetu humu! Eti computer wanaiita kiwatilishi? Je waliigundua wao? Lugha za ukweli computer wangeiita komputa maana ni kitu kipya hivyo kingeonyesha uasili!

Nakuhakikishia Mimi kwa professional yangu kama ukiitafsili kwa kiswahili itakuwa ni kihama! Be realistic!

Narudia, kusudi la awali halikuwa jema, it makes it to be curse! Maana kama makachero walishauri aharibu mfumo wa elimu then kwanini kiswahili 'uharibifu' ugeuke Neema tena?
 
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili, haki vile kila goti litapigwa, akili zinaanza kukurudia. Haya UZALENDO mnataka mumuachie nani?! Si mnajidai kuongoza kiswahili kuanzia kukaribisha wageni hadi kuhutubia kimataifa?! na mnapongeza kwa makofi makubwa? Haya waambie.
 
Back
Top Bottom