Viongozi wa Yanga Feitoto ameshageuka adui yenu, achacheni naye

Viongozi wa Yanga Feitoto ameshageuka adui yenu, achacheni naye

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Leo Feitoto akiwa na lawyers wake walikuwa wakipambana na TFF kuhusu terms of contract, Feitoto anasema hapana mkataba unaniruhusu huku Yanga wakisema no, law of contract haisemi hivyo.

Huko tuwaachie wanasheria wenzangu, hoja yangu mimi ni hapa tumefikaje? Leo Feitoto anagombana na timu iliyomwezesha kufika hapo na anaonekana akitoka nje ya ofisi za TFF huku anatabasamu kwa dharau.

Mimi nawashauri Yanga hata akirudi hatokuwa na mzuka ule wa kuachia makombora ya mbali hadi yanamshinda Beno Kakolanya. Mwacheni dogo akatimize ndoto yake kwa kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, yaaani sijui itakuaje siku hiyo.
 
"... ndoto ya kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, .." Kumbe SSc ni kubwa
 
Feitoto tayari Kawa "Feikubwa" na tayari "Kaota mapembe" sisi utopolo tumesheheni vipaji na wengine kina Yakuba wamerudi tumwachie "Feikubwa" aende anakotaka!

Mimi najua Feitoto kawakimbia Aziz Ki, Sureboy, Farid, Yakuba, Aucho, Bangala na Mudathir wote wanacheza namba zake mziki wa kugombania namba umemshinda! Ngoma ya kitoto haikeshi!! Aliona Ili abaki Yanga lazima afunge na kufunga sio kazi rahisi kuliko kukimbia timu simpo tu!

Mi ni mganga wa timu ya ndondo Nina uhakika Feikubwa ataflop sababu mchezaji yoyote hubebwa na mfumo wa kiuchezaji wa timu yake akihamia kwingine ni majanga!

Chama mpira ulimshinda Berkane!
 
Mimi ni shabiki wa Yanga kwelikweli... Lakini haya yote ni viongozi wetu wa Yanga wanayataka wenyewe na wana uswahili mwingi sana, timu bora haiangaiki na mtu mmoja, kama kweli wana malengo mazuri na timu na sio kumkomoa mchezaji, waingie chimbo watafute mchezaji wa kuziba pengo la Feisal... Hayo mengine ni visasi, viburi, ubabe na tamaa
 
Leo Feitoto akiwa na lawyers wake walikuwa wakipambana na TFF kuhusu terms of contract, Feitoto anasema hapana mkataba unaniruhusu huku Yanga wakisema no, law of contract haisemi hivyo.

Huko tuwaachie wanasheria wenzangu, hoja yangu mimi ni hapa tumefikaje? Leo Feitoto anagombana na timu iliyomwezesha kufika hapo na anaonekana akitoka nje ya ofisi za TFF huku anatabasamu kwa dharau.

Mimi nawashauri Yanga hata akirudi hatokuwa na mzuka ule wa kuachia makombora ya mbali hadi yanamshinda Beno Kakolanya. Mwacheni dogo akatimize ndoto yake kwa kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, yaaani sijui itakuaje siku hiyo.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Yanga ndio inayo tengeneza mpira wa nchi hii, ata iyo Simba ni zao la Yanga. Baadhi ya Mashabiki na baadhi ya wachezaji hawaelewi taratibu za mpira.
Kinacho fanyika ni funzo Kwa baadhi ya wachezaji au viongozi wasiotaka kufuata utaratibu na kufikiri unaweza kuingia mkataba na mtu au taasisi na kuamua kuuvunja Kwa jinsi wewe utakavyo taka.

Yanga asipo lisimamia Ili vilabu vingine havitaweza kukaa na wachezaji maana itaonekana mkataba unaweza Kuvunjwa bila kumshirikisha uliye ingia nae mkataba uo na Kila kitu kikawa sawa.
Uyu aliye mrubuni mchezaji dawa yake inachemka kwakua anafahamika kwasasa aendelee kuficha sura kumbe mwili wote unaonekana.
 
Leo Feitoto akiwa na lawyers wake walikuwa wakipambana na TFF kuhusu terms of contract, Feitoto anasema hapana mkataba unaniruhusu huku Yanga wakisema no, law of contract haisemi hivyo.

Huko tuwaachie wanasheria wenzangu, hoja yangu mimi ni hapa tumefikaje? Leo Feitoto anagombana na timu iliyomwezesha kufika hapo na anaonekana akitoka nje ya ofisi za TFF huku anatabasamu kwa dharau.

Mimi nawashauri Yanga hata akirudi hatokuwa na mzuka ule wa kuachia makombora ya mbali hadi yanamshinda Beno Kakolanya. Mwacheni dogo akatimize ndoto yake kwa kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, yaaani sijui itakuaje siku hiyo.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Mnajitahidi kupotosha hoja zilizopo mezani kuhusu yanga na feisal, Yanga aiwezi kumzuia feisal kwenda anakokutaka isipokuwa Feisal na wanaomrubuni ndio wanaofanya mambo yawe magumu, Feisal alisaini mkataba mpaka 2024 kwaiyo mnataka yanga imwachie tu feisal kihuni huni ? Wanaomtaka kwa nini wasiende mezani kuongea biashara wauziwe feisal bali wanataka wampate kwa njia haramu! Akuna timu ya kiboya inayoweza kumuachia mchezaji kirahisi rahisi namna iyo kama mnavyofikiria nyie, Rejea kesi ya onyango na simba alipotaka kuvunja mkataba wake akidai apewi nafasi ya kucheza kamati iliamua abaki simba kwakuwa bado ana mkataba halali awezi kuuvunja kwa stahili ile, Sasa feisal awaambie wanaomtaka waende wakatajiwe dau lake walipe aondoke kiroho safi na sio kienyeji kama anavyofikiria kila jambo lina utaratibu wake
 
Mnajitahidi kupotosha hoja zilizopo mezani kuhusu yanga na feisal, Yanga aiwezi kumzuia feisal kwenda anakokutaka isipokuwa Feisal na wanaomrubuni ndio wanaofanya mambo yawe magumu, Feisal alisaini mkataba mpaka 2024 kwaiyo mnataka yanga imwachie tu feisal kihuni huni ? Wanaomtaka kwa nini wasiende mezani kuongea biashara wauziwe feisal bali wanataka wampate kwa njia haramu! Akuna timu ya kiboya inayoweza kumuachia mchezaji kirahisi rahisi namna iyo kama mnavyofikiria nyie, Rejea kesi ya onyango na simba alipotaka kuvunja mkataba wake akidai apewi nafasi ya kucheza kamati iliamua abaki simba kwakuwa bado ana mkataba halali awezi kuuvunja kwa stahili ile, Sasa feisal awaambie wanaomtaka waende wakatajiwe dau lake walipe aondoke kiroho safi na sio kienyeji kama anavyofikiria kila jambo lina utaratibu wake
Kwenye mkataba wake kuna kipengele cha kuvunja mkataba.... Hyo ndio shida... Feisal kashikiria hapo hapo...

Kusingekuwa na kipengele cha kuvunja mkataba.. bas Yanga ilikuwa rahisi kushinda hii kesi

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Utaratibu gani afuate zaidi ya huo alioufuata ulioko kwenye mkataba? Unaosema ukirudisha pesa ya afa ya usajili na mshahara wa miezi 3 hupo huru
Basi sawa. Ngoja tusubiri maamuzi ya mwisho.
 
Nashangaa kwanini uongozi unamng'ang'ania huyo mtoto wamuache aende zake akaue kipaji huko anakotaka kwenda,
Wanampa ukubwa ambao hata hana, wamuache aende YANGA NI CHAMA KUBWA.
 
Back
Top Bottom