Viongozi wa Yanga Feitoto ameshageuka adui yenu, achacheni naye

Viongozi wa Yanga Feitoto ameshageuka adui yenu, achacheni naye

Shida sio kuvunja mkataba muwe mnaelewa msiwe kama watu wasiojielewa, kwani mkataba unaposainiwa ni baina ya nani na nani? Mmesaini mkataba watu 2 kisha mmoja anakurupuka uko anatangaza amevunja mkataba bila kukaa pande mbili kukubaliana kuuvunja icho kitu ulishakuona dunia gani kwenye mpira?
Kwenye mkataba wake hakuna kipengele kinacho mrazimisha kufanya hivyo kwa sababu gharama za kuvunja mkataba zimesha wekwa bayana kwenye mkataba sasa ulitaka wakae waongee nn?
 
Anaecheza mpira ni fei toto, kwa mapenzi yake ameamua hataki kucheza Tena Bado mnamng'ang'ania teh teh kweli Yanga waganga wakienyeji
 
Shida sio kuvunja mkataba muwe mnaelewa msiwe kama watu wasiojielewa, kwani mkataba unaposainiwa ni baina ya nani na nani? Mmesaini mkataba watu 2 kisha mmoja anakurupuka uko anatangaza amevunja mkataba bila kukaa pande mbili kukubaliana kuuvunja icho kitu ulishakuona dunia gani kwenye mpira?
Unamiliki mchezaji wa thamani kubwa kwa mkataba wa thamani ndogo na unaweka na kipengele cha kuuvunja halafu unashangaa akijaribu kuuvunja.
Baada ya mchezaji kupanda thamani kwann hamkupandisha thamani mkataba wake?
 
Fukuzeni huyo mchezaji asiye na nia na Yanga, fukuza haraka kabisa
 
Back
Top Bottom