Viongozi wa Yanga Feitoto ameshageuka adui yenu, achacheni naye

Viongozi wa Yanga Feitoto ameshageuka adui yenu, achacheni naye

Acha uongo hakuna sheria kama hiyo alafu unacho takiwa kujua ni kuwa mikataba huwa haifanani ww usidhani vipengere vya mkataba wa chama ni sawa na vipengere vya mkataba wa kanouti au kibu.
Sawa inaonekana wewe unazijua sana sheria za Fifa kwenye mikataba ya wachezaji, hivi ingekuwa ivyo unavyofikiria timu zingekuwa zinabaki na wachezaji au ingekuwa ni vurugu tupu kwenye mpira
 
Sasa kwa mama yake mlikwenda kufanya nini!?
Unaweza share picha ya viongozi wa Yanga wakiwa kwa kina Fei toto? au ushabiki?

Kimpira haijalishi mchezaji ana miaka mingapi, mkataba wake unaweza kuvunjwa as long taratibu za usajili zimefuata, so kila mchezaji yupo sokoni maongezi na taratibu zitamua auzwe au aachwe.
 
Leo Feitoto akiwa na lawyers wake walikuwa wakipambana na TFF kuhusu terms of contract, Feitoto anasema hapana mkataba unaniruhusu huku Yanga wakisema no, law of contract haisemi hivyo.

Huko tuwaachie wanasheria wenzangu, hoja yangu mimi ni hapa tumefikaje? Leo Feitoto anagombana na timu iliyomwezesha kufika hapo na anaonekana akitoka nje ya ofisi za TFF huku anatabasamu kwa dharau.

Mimi nawashauri Yanga hata akirudi hatokuwa na mzuka ule wa kuachia makombora ya mbali hadi yanamshinda Beno Kakolanya. Mwacheni dogo akatimize ndoto yake kwa kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, yaaani sijui itakuaje siku hiyo.
ni kweli tumwache
 
Acha uongo hakuna sheria kama hiyo alafu unacho takiwa kujua ni kuwa mikataba huwa haifanani ww usidhani vipengere vya mkataba wa chama ni sawa na vipengere vya mkataba wa kanouti au kibu.
Endelea kufuga ujinga
 
Sawa inaonekana wewe unazijua sana sheria za Fifa kwenye mikataba ya wachezaji, hivi ingekuwa ivyo unavyofikiria timu zingekuwa zinabaki na wachezaji au ingekuwa ni vurugu tupu kwenye mpira
Wanadhani mkataba wa football ni kama pango la nyumba
 
Leo Feitoto akiwa na lawyers wake walikuwa wakipambana na TFF kuhusu terms of contract, Feitoto anasema hapana mkataba unaniruhusu huku Yanga wakisema no, law of contract haisemi hivyo.

Huko tuwaachie wanasheria wenzangu, hoja yangu mimi ni hapa tumefikaje? Leo Feitoto anagombana na timu iliyomwezesha kufika hapo na anaonekana akitoka nje ya ofisi za TFF huku anatabasamu kwa dharau.

Mimi nawashauri Yanga hata akirudi hatokuwa na mzuka ule wa kuachia makombora ya mbali hadi yanamshinda Beno Kakolanya. Mwacheni dogo akatimize ndoto yake kwa kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, yaaani sijui itakuaje siku hiyo.
Wamuache aende zake ,haina haja ya kumng'an'gania.

Yanga bila fei toto inawezekana

Simba bila madawa inawezekana.


 
Tatzo unaweka ushabiki kwenye mambo yasio hitaji ushabiki hivi kama kila mchezaji aibuke anataka kuvunja mkataba huu kwa style ya Feisal mpira utachezwa kweli?
Kama kuna kipengele cha release clause... Inawezekana kuvunja.. lakin kama hakuna kipengele hko.... Huwez kuvunja kirahisi... Elewa kwanza kwann timu zinaweka release clause... Ndio utajua mpira

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Taratibu na Sheria zifuatwe, kama Fei amekosea apewe adhabu hata kama ni kufungiwa miaka kucheza soka.
 
Mnajitahidi kupotosha hoja zilizopo mezani kuhusu yanga na feisal, Yanga aiwezi kumzuia feisal kwenda anakokutaka isipokuwa Feisal na wanaomrubuni ndio wanaofanya mambo yawe magumu, Feisal alisaini mkataba mpaka 2024 kwaiyo mnataka yanga imwachie tu feisal kihuni huni ? Wanaomtaka kwa nini wasiende mezani kuongea biashara wauziwe feisal bali wanataka wampate kwa njia haramu! Akuna timu ya kiboya inayoweza kumuachia mchezaji kirahisi rahisi namna iyo kama mnavyofikiria nyie, Rejea kesi ya onyango na simba alipotaka kuvunja mkataba wake akidai apewi nafasi ya kucheza kamati iliamua abaki simba kwakuwa bado ana mkataba halali awezi kuuvunja kwa stahili ile, Sasa feisal awaambie wanaomtaka waende wakatajiwe dau lake walipe aondoke kiroho safi na sio kienyeji kama anavyofikiria kila jambo lina utaratibu

Tatizo lenu mnaangalia kipengele kimoja tu ndo mnatuletea hapa, kwenye huo mkataba wake kuna kipengele kimoja tu basi? Unajua mpaka mchezaji mwenye mkataba aamue kuuvunja anatakiwa kuwe kumetokea nini kwenye mkataba wake na waajiri wake? Kwanza vipengele vya mkataba viwe vimekiukwa ikiwa ni kutolipwa mshahara wake miezi 3 mfululizo, pili kukosa nafasi ya kucheza, tatu kutotimiziwa makubaliano yaliyopo ndani ya mkataba husika, Sasa katika ivyo akuna ata kimoja ambacho ajatekelezewa anavunjaje mkataba kihuni namna iyo? Kama ingekuwa ivyo basi vilabu vyote visingekuwa na wachezaji ina maana mchezaji yoyote angekuwa na uwezo wa kuvunja mkataba muda wowote na kusepa anakoona kunafaa
Akili fupi dunduka haziwezi kuelewa hapa
 
Mama amesema hawezi kuwa Rais kutoka Zanzibar halafu Zanzibar Finest analipwa milioni 4 na anavaa kama machinga maana pesa anayolipwa haitoshi kujikimu.

Yanga hawajui wanapambana na nani.
 
Daaah nchi hii ya ovyo sana mtu ukipigania maslahi mazuri unaitwa ADUI.
 
Sawa inaonekana wewe unazijua sana sheria za Fifa kwenye mikataba ya wachezaji, hivi ingekuwa ivyo unavyofikiria timu zingekuwa zinabaki na wachezaji au ingekuwa ni vurugu tupu kwenye mpira
Ww jamaa una uelewa mdogo sana nimesha kwambia kuwa mikataba haifanani na ndio maana hakuwezi kuwa na vurugu, vipengere vilivyoko kwenye mkataba wa fei sio vipengere vilivyoko kwenye mkataba wa kibwana Shomari na ndio maana Kibwana hawezi kufanya kitu alicho kifanya Fei.
 
Kinacho fanyika ni funzo Kwa baadhi ya wachezaji au viongozi wasiotaka kufuata utaratibu na kufikiri unaweza kuingia mkataba na mtu au taasisi na kuamua kuuvunja Kwa jinsi wewe utakavyo taka
Hao uto ndiyo mabingwa wa kuvunja sheria
 
Ww jamaa una uelewa mdogo sana nimesha kwambia kuwa mikataba haifanani na ndio maana hakuwezi kuwa na vurugu, vipengere vilivyoko kwenye mkataba wa fei sio vipengere vilivyoko kwenye mkataba wa kibwana Shomari na ndio maana Kibwana hawezi kufanya kitu alicho kifanya Fei.
Mikataba haifanani lakini FIFA wana muongozo ni sawa na sheria ambayo inakeuka katiba automatic ni null
 
Kama kuna kipengele cha release clause... Inawezekana kuvunja.. lakin kama hakuna kipengele hko.... Huwez kuvunja kirahisi... Elewa kwanza kwann timu zinaweka release clause... Ndio utajua mpira

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo kama kuna hiyo release clause timu aliyo ingia nayo mkataba haitakiwi kujulishwa?

So Yanga haitakiwi kuambiwa basi hata kwa barua au Kwa kuwa unahela basi ndio unanunua mkataba then basi mkataba unavunjwa.

Mbele hamna uhuni huu na club zina uchumi mkubwa ila wanafuata taratibu. Kwani mkataba umesainiwa na pande mbili so hata wakati wa kuvunjwa lazima pande mbili zika chini zikubaliane na ndio uvunje.
 
Back
Top Bottom