BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Kudai haki yako ni ujinga? πππππNa hili ndilo tatizo la wachezaji wetu. Wana vipaji, lakini elimu hawana. Dogo anatakiwa afuate utaratibu. Maana Yanga inajitosheleza, hata asipokuwepo.
Yanga wana roho mbaya sana kama wachawiLeo Feitoto akiwa na lawyers wake walikuwa wakipambana na TFF kuhusu terms of contract, Feitoto anasema hapana mkataba unaniruhusu huku Yanga wakisema no, law of contract haisemi hivyo.
Huko tuwaachie wanasheria wenzangu, hoja yangu mimi ni hapa tumefikaje? Leo Feitoto anagombana na timu iliyomwezesha kufika hapo na anaonekana akitoka nje ya ofisi za TFF huku anatabasamu kwa dharau.
Mimi nawashauri Yanga hata akirudi hatokuwa na mzuka ule wa kuachia makombora ya mbali hadi yanamshinda Beno Kakolanya. Mwacheni dogo akatimize ndoto yake kwa kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, yaaani sijui itakuaje siku hiyo.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa hili nalo walitazameKama kweli yanga ndio imekuza kipaji Cha feitoto imwachie maana wanaweza kukuza vipaji vya bigirmana na makambo vikawa juu
Sheria za FIFA zipo wazi mchezaji mwenye mkataba hawezi vunja mkataba kati kati ya msimu bila kuzungumza na club yakeKwenye mkataba wake kuna kipengele cha kuvunja mkataba.... Hyo ndio shida... Feisal kashikiria hapo hapo...
Kusingekuwa na kipengele cha kuvunja mkataba.. bas Yanga ilikuwa rahisi kushinda hii kesi
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Amevunja kwenye dirisha dogo ... Na hyo ipo sana....Sheria za FIFA zipo wazi mchezaji mwenye mkataba hawezi vunja mkataba kati kati ya msimu bila kuzungumza na club yake
Neymar alipoondoka Barcelona alitumia Sheria zipi au kuna Sheria za fifa za Hispania tofauti na Sheria za fifa za TanzaniaSheria za FIFA zipo wazi mchezaji mwenye mkataba hawezi vunja mkataba kati kati ya msimu bila kuzungumza na club yake
Acha uongo hakuna sheria kama hiyo alafu unacho takiwa kujua ni kuwa mikataba huwa haifanani ww usidhani vipengere vya mkataba wa chama ni sawa na vipengere vya mkataba wa kanouti au kibu.Sheria za FIFA zipo wazi mchezaji mwenye mkataba hawezi vunja mkataba kati kati ya msimu bila kuzungumza na club yake
Yanga ipi unayoizungumzia?Yanga ndio inayo tengeneza mpira wa nchi hii, ata iyo Simba ni zao la Yanga. Baadhi ya Mashabiki na baadhi ya wachezaji hawaelewi taratibu za mpira.
Kinacho fanyika ni funzo Kwa baadhi ya wachezaji au viongozi wasiotaka kufuata utaratibu na kufikiri unaweza kuingia mkataba na mtu au taasisi na kuamua kuuvunja Kwa jinsi wewe utakavyo taka.
Yanga asipo lisimamia Ili vilabu vingine havitaweza kukaa na wachezaji maana itaonekana mkataba unaweza Kuvunjwa bila kumshirikisha uliye ingia nae mkataba uo na Kila kitu kikawa sawa.
Uyu aliye mrubuni mchezaji dawa yake inachemka kwakua anafahamika kwasasa aendelee kuficha sura kumbe mwili wote unaonekana.
Aziz Ki ameshamfunika Feikubwa sababu jamaa anafunga, ni play maker na anatoa assists, dogo Kaota mapembe akae benchi mpaka maji Aite mmmmmaaa!Tunamrudisha then anapigwa bench hadi mkataba uishe!
Aziz k ni mchezaji mkubwa huwezi kumfananisha na Fei, mechi za kimataifa sina wasiwasi kabisa na Aziz ki. Fei ni mchezaji wa mechi za ndani tu.Aziz Ki ameshamfunika Feikubwa sababu jamaa anafunga, ni play maker na anatoa assists
Nani asiyejua uhuni wa Yanga kwa wachezaji?Mnajitahidi kupotosha hoja zilizopo mezani kuhusu yanga na feisal, Yanga aiwezi kumzuia feisal kwenda anakokutaka isipokuwa Feisal na wanaomrubuni ndio wanaofanya mambo yawe magumu, Feisal alisaini mkataba mpaka 2024 kwaiyo mnataka yanga imwachie tu feisal kihuni huni ? Wanaomtaka kwa nini wasiende mezani kuongea biashara wauziwe feisal bali wanataka wampate kwa njia haramu! Akuna timu ya kiboya inayoweza kumuachia mchezaji kirahisi rahisi namna iyo kama mnavyofikiria nyie, Rejea kesi ya onyango na simba alipotaka kuvunja mkataba wake akidai apewi nafasi ya kucheza kamati iliamua abaki simba kwakuwa bado ana mkataba halali awezi kuuvunja kwa stahili ile, Sasa feisal awaambie wanaomtaka waende wakatajiwe dau lake walipe aondoke kiroho safi na sio kienyeji kama anavyofikiria kila jambo lina utaratibu wake
Hata morisson msemo wenu ulikuwa huhuu. Mwisho wa siku mkaangukia pua.Tunamrudisha then anapigwa bench hadi mkataba uishe!
Fei tumemlea wenyewe mkuu!Hata morisson msemo wenu ulikuwa huhuu. Mwisho wa siku mkaangukia pua.
Fei akirudi mtamshangilia tu kama ilivyokuwa kwa Nyionzima na sasa morisson .
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu piganieni haki yenu hadi kielewekeFei tumemlea wenyewe mkuu!
Mnajitahidi kupotosha hoja zilizopo mezani kuhusu yanga na feisal, Yanga aiwezi kumzuia feisal kwenda anakokutaka isipokuwa Feisal na wanaomrubuni ndio wanaofanya mambo yawe magumu, Feisal alisaini mkataba mpaka 2024 kwaiyo mnataka yanga imwachie tu feisal kihuni huni ? Wanaomtaka kwa nini wasiende mezani kuongea biashara wauziwe feisal bali wanataka wampate kwa njia haramu! Akuna timu ya kiboya inayoweza kumuachia mchezaji kirahisi rahisi namna iyo kama mnavyofikiria nyie, Rejea kesi ya onyango na simba alipotaka kuvunja mkataba wake akidai apewi nafasi ya kucheza kamati iliamua abaki simba kwakuwa bado ana mkataba halali awezi kuuvunja kwa stahili ile, Sasa feisal awaambie wanaomtaka waende wakatajiwe dau lake walipe aondoke kiroho safi na sio kienyeji kama anavyofikiria kila jambo lina utaratibuLeo Feitoto akiwa na lawyers wake walikuwa wakipambana na TFF kuhusu terms of contract, Feitoto anasema hapana mkataba unaniruhusu huku Yanga wakisema no, law of contract haisemi hivyo.
Huko tuwaachie wanasheria wenzangu, hoja yangu mimi ni hapa tumefikaje? Leo Feitoto anagombana na timu iliyomwezesha kufika hapo na anaonekana akitoka nje ya ofisi za TFF huku anatabasamu kwa dharau.
Mimi nawashauri Yanga hata akirudi hatokuwa na mzuka ule wa kuachia makombora ya mbali hadi yanamshinda Beno Kakolanya. Mwacheni dogo akatimize ndoto yake kwa kucheza na Chama, Sakho, Ntibazonkiza, yaaani sijui itakuaje siku hiyo.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Tatizo lenu mnaangalia kipengele kimoja tu ndo mnatuletea hapa, kwenye huo mkataba wake kuna kipengele kimoja tu basi? Unajua mpaka mchezaji mwenye mkataba aamue kuuvunja anatakiwa kuwe kumetokea nini kwenye mkataba wake na waajiri wake? Kwanza vipengele vya mkataba viwe vimekiukwa ikiwa ni kutolipwa mshahara wake miezi 3 mfululizo, pili kukosa nafasi ya kucheza, tatu kutotimiziwa makubaliano yaliyopo ndani ya mkataba husika, Sasa katika ivyo akuna ata kimoja ambacho ajatekelezewa anavunjaje mkataba kihuni namna iyo? Kama ingekuwa ivyo basi vilabu vyote visingekuwa na wachezaji ina maana mchezaji yoyote angekuwa na uwezo wa kuvunja mkataba muda wowote na kusepa anakoona kunafaaKwenye mkataba wake kuna kipengele cha kuvunja mkataba.... Hyo ndio shida... Feisal kashikiria hapo hapo...
Kusingekuwa na kipengele cha kuvunja mkataba.. bas Yanga ilikuwa rahisi kushinda hii kesi
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Sasa kwa mama yake mlikwenda kufanya nini!?Fei tumemlea wenyewe mkuu!