Viongozi wa Yanga Feitoto ameshageuka adui yenu, achacheni naye

Kwenye mkataba wake hakuna kipengele kinacho mrazimisha kufanya hivyo kwa sababu gharama za kuvunja mkataba zimesha wekwa bayana kwenye mkataba sasa ulitaka wakae waongee nn?
 
Anaecheza mpira ni fei toto, kwa mapenzi yake ameamua hataki kucheza Tena Bado mnamng'ang'ania teh teh kweli Yanga waganga wakienyeji
 
Unamiliki mchezaji wa thamani kubwa kwa mkataba wa thamani ndogo na unaweka na kipengele cha kuuvunja halafu unashangaa akijaribu kuuvunja.
Baada ya mchezaji kupanda thamani kwann hamkupandisha thamani mkataba wake?
 
Fukuzeni huyo mchezaji asiye na nia na Yanga, fukuza haraka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…