Si wana nchimbi [emoji12]Mi nawaza forward sjui atacheza nani
Je mabeki wa pembeni?Si wana nchimbi [emoji12]
Wale wale c wamesajili.wachezaji bora kama wanavyojitapatapaJe mabeki wa pembeni?
Acha ujingaUtopolo ni wababaishaji.
Si ni jpili hii?Wale wale c wamesajili.wachezaji bora kama wanavyojitapatapa
Sisi tutashuhudia RIVER wa naija walifanya yao maana kitawaka kibanda cha nyasiSi ni jpili hii?
Vijana wameokotana huko wanakuja kutafta masoko ya samaki wao dar ..na kucheza na utaputapuSisi tutashuhudia RIVER wa naija walifanya yao maana kitawaka kibanda cha nyasi
Watacheza bolingo stejini hao wakongo wao[emoji23][emoji23]Vijana wameokotana huko wanakuja kutafta masoko ya samaki wao dar ..na kucheza na utaputapu
Mimi nipo hapa mstari wa mbele nangoja umoja wa wavuvi wa nigeria wanavotua kama upako pale kwa mkapa hio j.pili
Sjui j'mapelle sjui jesuiii moloko na wenzake wanavoona jahazi linazama wakiwa benchi