The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
12. Hakainde Hichilema- Miaka 18, UPND, Zambia.
Kwanza, hakuna Vyama vya ukombozi Ulaya .. Pili, Castro wa Cuba ni kiongozi wa chama cha Ukombozi .... Tatu, huyo Hichilema kaanza kuongoza juzi tu, leo amefikishaje miaka 18 ...!!? Kama unazungumzia madarakani kwenye chama that's is ok .... ila usiwasahau Cheyo mzee wa Mapesa, Mrema (RIP), Mtikila (RIP) .....