Viongozi wanaolinda na kutetea rasilimali za mataifa yao maisha yao huwa mafupi sana

Viongozi wanaolinda na kutetea rasilimali za mataifa yao maisha yao huwa mafupi sana

1620310512760.png
 
Nimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.

Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.

Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!

Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Kuna mmoja alikuwa na ulinzi wa kila aina mpaka wazee wa ghamboshi, lakini zirael alipoamua kumchukua ulinzi haukusaidia kitu
 
Mgonjwa anapoumwa na kuwa jeuri ya kutotaka kwenda kwenye matibabu stahiki kwa muda muafaka matokeo yake huwa ndiyo haya!!
Hata hivyo ni pumzi kubwa kwa mama Tanzania.
 
Muamar Gaddafi alitetea saana tu maslahi ya Libya na akatawala miongo kadhaa. Kajipange upya na utafiti wako wakizembe.
 
Back
Top Bottom