Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
MATAGA mnaisoma namba kwa kishindo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mume wako jiwe hajawahi kutetea rasilimali za watanzaniaMbona unapost upuuzi.We unamzungumzia nani?
Angeomba azikwe nae tuMfuate huko huko
Bado ana nafasi ya kumfuataAngeomba azikwe nae tu
Mpaka no zinageukaMATAGA mnaisoma namba kwa kishindo...
Kuna mmoja alikuwa na ulinzi wa kila aina mpaka wazee wa ghamboshi, lakini zirael alipoamua kumchukua ulinzi haukusaidia kituNimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.
Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.
Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!
Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
We bwege usiniletee kipandauso.mataga mnapenda sana kula maugoro yaliyozidishwa magadi.
Tukizidisha mashambulizi watakimbiaBado ana nafasi ya kumfuata
Yanakuja kupima upepomataga mnapenda sana kula maugoro yaliyozidishwa magadi.
Ulinambia nisile panyaViongozi wanaolinda na kutetea rasilimali za mataifa yao maisha yao huwa mafupi sana
Madhara ya kufikiri kwa makalio.Yanakuja kupima upepo
Wapuuzi haoTukizidisha mashambulizi watakimbia
Kwahiyo huyo unayemsema Mungu hakumlinda?Mkuu mbona unakuwa mtu usie na uwezo wa kudadavua mambo? Mungu alimlinda tu Nyerere ila wazungu walikuwa hawampendi.
Ndiyo makalio yako unayatumia kufikiria shwaini weweMadhara ya kufikiri kwa makalio.
Ni masimango hadi forum waione chunguWapuuzi hao