Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #41
Madhara ya kutumia makalio kufikiri.Ndiyo makalio yako unayatumia kufikiria shwaini wewe View attachment 1775477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madhara ya kutumia makalio kufikiri.Ndiyo makalio yako unayatumia kufikiria shwaini wewe View attachment 1775477
Kweli aseeNi masimango hadi forum waione chungu
Chukua hiyo zawadi yako toka afe mwendazake haujapata basha muda mrefu sanaMadhara ya kutumia makalio kufikiri.
Madhara ya kufikiri kwa makakalioChukua hiyo zawadi yako toka afe mwendazake haujapata basha muda mrefu sana View attachment 1775481
Kwa hiyo Anko Magu naye aliuliwa? Raslimali yenyewe uwezo wa kuvuna hatuna mpaka mzunguNimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.
Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.
Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!
Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Mtoto una makalio portable sanaMadhara ya kufikiri kwa makakalio
Madhara ya kufikiri kwa makalioMtoto una makalio portable sana View attachment 1775482
Hujamaliza kuwataja mkuu 🤣🤣🤣, BTW Nyerere alikua mzalendo wa kweli wala hapajawahi kua na mzalendo kama mwalimu, lkn aliishi miaka mingi c haba. NB malizia kuwataja🤣🤣Nimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.
Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.
Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!
Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Kwenye stand ya bus mbezi hapo napinga. Ile stand kwanza ina service roads na stand iko mbali kidogo na main road - Morogoro. Kwani yeye CAG alitakaje? Mbona hakuwahi basi ku comment stand ya mabasi ilivyokuwa Ubungo? Na pale ubungo ndo hali ya foreni ilikuwa balaaaa. Why did he keep silent without any comment. Hapo tu ndo nashindwa kumuelewa CAG. Alitaka stand ya mabasi ijengwe wapi ili kusiwe na foreni. Mkaguzi mzuri niyule anayetoa solution ya kitu sio ku list matatizo tu alafu unatuachia tuhangaike nayo. That is not fair at all.Kuhusu fisadi jiwe soma hapa hajawahi kutetea rasilimali za watanzania zaidi ya kujinufaisha yeye na genge lake View attachment 1775425
UKIMWI + Bipolar + Diabetes + Hypertension + COVID 19= HUTOBOI NG'ONyerere alitetea kwa nguvu zake zote aliishi miaka mingapi?
Bandiko lako halina mashiko kwani kuondka duniani kuna sababu nyingi.Mtu ana underlying disease kwa maiak kumi na tano akifa inahusishwa na kulinda rasilimali.
Kazi na iendelee na Maisha yanaendelea!
Unampa maelezo mazuri, huyu fala atakuelewa?Kwenye stand ya bus mbezi hapo napinga. Ile stand kwanza ina service roads na stand iko mbali kidogo na main road - Morogoro. Kwani yeye CAG alitakaje? Mbona hakuwahi basi ku comment stand ya mabasi ilivyokuwa Ubungo? Na pale ubungo ndo hali ya foreni ilikuwa balaaaa. Why did he keep silent without any comment. Hapo tu ndo nashindwa kumuelewa CAG. Alitaka stand ya mabasi ijengwe wapi ili kusiwe na foreni. Mkaguzi mzuri niyule anayetoa solution ya kitu sio ku list matatizo tu alafu unatuachia tuhangaike nayo. That is not fair at all.
Una uhakika alitawala bila bugudha?Kama walikuwa hawampendi kwa nini walimwachia nchi bila bughudha yoyote?
punguza jazba mataga mkubwa wewe.We bwege usiniletee kipandauso.
Hivi ndugu unajua Nyerere alikoswakoswa kupinduliwa mara ngapiKama walikuwa hawampendi kwa nini walimwachia nchi bila bughudha yoyote?
Uliona nchi yetu ikipata uhuru kwa mtutu wa bunduki???Falsafa za Nyerere zilieleweka na kila mtu mpaka mataifa jirani vyama vya siasa wakiiga TANU ya Nyerere mfano.Kenya - KANU,Zimbabwe -ZANU PF,Msumbiji - MANU.Una uhakika alitawala bila bugudha?
Watoto wa juzi hawa hawajui kitu.Hivi ndugu unajua Nyerere alikoswakoswa kupinduliwa mara ngapi
Uliona nchi yetu ikipata uhuru kwa mtutu wa bunduki???Falsafa za Nyerere zilieleweka na kila mtu mpaka mataifa jirani vyama vya siasa wakiiga TANU ya Nyerere mfano.Kenya - KANU,Zimbabwe -ZANU PF,Msumbiji - MANU.Una uhakika alitawala bila bugudha?
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri.Uliona nchi yetu ikipata uhuru kwa mtutu wa bunduki???Falsafa za Nyerere zilieleweka na kila mtu mpaka mataifa jirani vyama vya siasa wakiiga TANU ya Nyerere mfano.Kenya - KANU,Zimbabwe -ZANU PF,Msumbiji - MANU.