ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kwani ulifanya research utupe copy?Kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ulifanya research utupe copy?Kivipi?
Maswali ya kibwege waulize mafala wenzako.Kwani ulifanya research utupe copy?
Mungu anabagua? imekuaje amemlinda Nyerer tu?Mkuu mbona unakuwa mtu usie na uwezo wa kudadavua mambo? Mungu alimlinda tu Nyerere ila wazungu walikuwa hawampendi.
Kipanda uso kinazidi kukukondeshaFala wewe jikatae.
Kwa hiyo ulioteshwa na malaika wa aliyekuwa mungu wa Burigi?Maswali ya kibwege waulize mafala wenzako.
Madhara ya kutumia makalio kufikiri.Kwa hiyo ulioteshwa na malaika wa aliyekuwa mungu wa Burigi?
Mtu amehi na mashine ya mooyo zaidi ya miaka kumi huoni Mungu alimpenda sana na vile aliomba akawe kiranja wwa malaikka kaitwa apewe hiyo post asipoteze muda dunianiNimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.
Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.
Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!
Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Haya wewe bisha lakini hiyo report ni ya CAGKwenye stand ya bus mbezi hapo napinga. Ile stand kwanza ina service roads na stand iko mbali kidogo na main road - Morogoro. Kwani yeye CAG alitakaje? Mbona hakuwahi basi ku comment stand ya mabasi ilivyokuwa Ubungo? Na pale ubungo ndo hali ya foreni ilikuwa balaaaa. Why did he keep silent without any comment. Hapo tu ndo nashindwa kumuelewa CAG. Alitaka stand ya mabasi ijengwe wapi ili kusiwe na foreni. Mkaguzi mzuri niyule anayetoa solution ya kitu sio ku list matatizo tu alafu unatuachia tuhangaike nayo. That is not fair at all.
Hawaamini kama jiwe amekufaTena kinyongee sana. TAGA likitupia uzi linasikilizia, matokeo likishaona maji marefu linaishia. Mtu kishaitwa mwendazake, sijui stori zake wanaziendeleza za nini. Sasahivi kinasomwa kitabu kingine.
Umeandika pumba mazee.Nimeangalia maisha ya aliyekuwa rais wa Bukinabe Thomas Sankara na kugundua kuwa ukiwa kiongozi mwenye nia ya kujenga taifa linalojitegemea na kulinda rasilimali zake basi tambua maisha yako yapo hatarini.
Pia maisha ya Patrice Lumumba wa Congo nayo yanaonyesha ni namna gani wakora wa mali za waafrika huwa wanataka kumuua na kummaliza kiongozi yoyote anayelinda na kutetea mali za Waafrica.
Tazama Samora Machel wa Mozambique alivyouwawa kisa tu analinda na kutetea mali za taifa lake!
Kwa Africa ili uwe rais wa kudumu lazima uwe kama Ali Bongo Ondimba, rais wa Gabon.
Ulitaka aendelee kuua, kufunga na kupoteza watu? angempoteza dingi ako usigeleta huu upupu hapa, sisi tuna mshukuru MUNGU kwa kutoondolea hii balaa
Huwa hakosei hata dak 1Mungu fundi bhana
Mungu aliingilia kati bila kumwaga damuHuwa hakosei hata dak 1
SureMungu aliingilia kati bila kumwaga damu
Wale wote waliokuwa wanufaika wa mifumo ya unyang'aji wa kidola toka kwa msukuma ndio hao wanazidi kutapika nyongo!.Kilichobaki watulize mishono tu,maana mtu wao alieNyerere alitetea kwa nguvu zake zote aliishi miaka mingapi?
Bandiko lako halina mashiko kwani kuondka duniani kuna sababu nyingi.Mtu ana underlying disease kwa maiak kumi na tano akifa inahusishwa na kulinda rasilimali.
Kazi na iendelee na Maisha yanaendelea!