Viongozi wapya wakuu wa CHADEMA 2019 - 2024

Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Kamati.kuu wabunge watupu.
Kamati kuu ilitakiwa kusheheni watu wengi ambao sio wabunge sababu wao ndio.wasimamizi wakuu wa Chama na wabunge wao.Kwa mfumo huo.bunge wanalisimamiaje wakati wao ni wabunge?
Wabunge kwa wakati upi?
Tambua hii timu ni kwaajili y 2020 na kuendelea.
Hakuna mbunge hapo hata mwenyekiti harudi bungeni.. hakuna hata mmoja atakayerudi bungeni hapo.
[emoji83][emoji83][emoji83]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sugu wala profesa mbona siwaoni kwenye hiyo listi?
 
Kamati.kuu wabunge watupu.
Kamati kuu ilitakiwa kusheheni watu wengi ambao sio wabunge sababu wao ndio.wasimamizi wakuu wa Chama na wabunge wao.Kwa mfumo huo.bunge wanalisimamiaje wakati wao ni wabunge?
Kwani katiba inamkataza mbunge kuwa kamati kuu au unatoa maoni yako kwamba walitakiwa watu wengine sio wabunge?
 
Hawa vipi?,niliwaambia wampe ukatibu Henche ,,,mnyika hataweza ni mkimya Sana ,,,
 
Sasa Mwanaccm si ufurahie Mbowe kushindwa kazi !
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
[/QUOTE
Waenda Motoni katika ubora wenu. Unasema uongo mchana kweupe. Hivi unamjua Benson kigaila au unahisi tu. Kwahiyo nae ni wakilimanjaro? Hopeless.
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Ndiyo, Kigaila ni mpare pure japo anaishi nje ya kilimanjaro
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Mwenyekiti, Katibu mkuu, Naibukatibu mkuu bara wanatokea Kilimanjaro
 
Kamati.kuu wabunge watupu.
Kamati kuu ilitakiwa kusheheni watu wengi ambao sio wabunge sababu wao ndio.wasimamizi wakuu wa Chama na wabunge wao.Kwa mfumo huo.bunge wanalisimamiaje wakati wao ni wabunge?
Naona imekuumiza, ivumilie tu! Ccm mnaingiliaje upangaji wa safu ya uongozi wa cdm as if ninyi ndio wamiliki wa wananchi? Mna maana wananchi hawawezi kutenda Jambo la kikatiba bila ccm kutoa mkono na mdomo? Hebu iacheni cdm ijipange kwa Raha zao na hakika Safari hii ccm mtalia Sana! Kamati kuu ndani na nje ya bunge na muda wowote wanaitana na kuelekezana! Imekaaje hii ndugu mlalamikaji Yehodaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…