UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Unajua kitu kinaitwa 'New world order' maana yake ni nini?Wapi wamesema wanataka kutawala dunia yote? Mpaka sasa wametawala nchi ngapi na ngapi zimesalia? Ku share ideals haina maana unakuwa puppet.
Kuuliza swali sio kubisha. Swali linahitaji jibuTusibishane mkuu katika hili! Nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza, ila Urusi mpaka sasa ivi tunavyoochatika JF ina msaada mkubwa sana kwa TZ ni hivyo si mambo yote hua yanawekwa hadharani but ni rafiki mzuri tu.
Elezea. Isije kuwa ni nadharia tu.Unajua kitu kinaitwa 'New world order' maana yake ni nini?
Naona hivi vitu viko juu ya uwezo wako, tuishie hapo.Elezea. Isije kuwa ni nadharia tu.
Swali halijibiwi kwa swaliNaona hivi vitu viko juu ya uwezo wako, tuishie hapo.
Kama ulifuatilia, mkutano wa UN kuhusu vita hii utatambua nchi za Afrika nyingi msimamo wao ulikuwaje. Wacha kudhalilisha viongozi wa Afrika.Mada tajwa hapo juu ni juu ya hawa African leaders.
Viongozi wetu wa Afrika wanakaa kimya juu ya vita ya Urusi na Ukraine kwasababu wanaogopa watanyimwa misaada.
Wataongea nini wakati wanaopigana ndio tunaowategemea. Nchi zinazo jitegemea tu ndio zinaweza kuongelea hiyo vita na kutoa ushauri.
Tegemezi marazote hukosa confidence ya kutoa mchango wake.
Ngoja habari kamili imo humu kwenye hii video.
View attachment 2141201
Kama kuna kiongozi humu utanisamehe najua inauma sana lakini huu ndio uhalisia.
Viongozi wa nchi za kiafrika hii meseji iwafikie. Byeeeee.
Inaonesha hujui political economy ya ulimwengu. Si rahisi mtu kukuelewesha kwenye jfWapi wamesema wanataka kutawala dunia yote? Mpaka sasa wametawala nchi ngapi na ngapi zimesalia? Ku share ideals haina maana unakuwa puppet.
Wewe utakua ni kiongozi, ile video inakuhusu. Kaisikilize taratibu utaelewa uzi umelinga nini. Hapa hatuoneani huruma tunaambiana ukweli.Kama ulifuatilia, mkutano wa UN kuhusu vita hii utatambua nchi za Afrika nyingi msimamo wao ulikuwaje. Wacha kudhalilisha viongozi wa Afrika.
Aisee sijawahi kuona choo kimeandikwa kwa msaada wa watu wa Urusi [emoji23][emoji23]Sasa Urusi wanatupa misaada gani? Labda AK-47 tu.
Unaweza kutupa mfano katu sponsor nini mkuu??Hakika... Yetu macho, huwezi kumvimbia sponser...
Taja ya wazi nasi tujuemingi sana ya siri na ya wazi
Tuambie hiyo misaada hayo ya ukombozi tuyaachePole sana ndg Urusi kwetu amekuwa msaada mkubwa sana na si kwetu tu hata kwa baadhi ya nchi za Afrika katika harakati za ukombozi kusini mwa afrika
Hivi unajua kwamba ukraine ilishakuwa na kinu cha nuclear na ilikuwa na silaha za nuclear??Wanaogopa kuiambia marekani ukweli ili wasikose misaada. Marekani ndiyo chanzo cha mzozo wote huo, siasa za kishetani za kujitanua na kutaka kutawala dunia ndiyo chanzo cha hayo yote; kutaka kuweka makombora ya kuilenga Russia, na kuisaidia Ukraine kutaka kutengeneza silaha za nuklia ndiyo chanzo cha vita. Sasa nani atamfunga paka kengele? Ulaya yote ilishakuwa vikaragosi (puppets) wa marekani!
Upi huo? China walijenga Reli, Scandinavian countries wametupa misaada mingi sana kwenye Elimu, VETA, Maliasili, Afya etc, Marekani nao halikadhalika wanetusaidia sana mfano MCC funds kwenye umeme, miundombinu etc... Sasa huyo Mrusi hebu tusaidieTusibishane mkuu katika hili! Nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza, ila Urusi mpaka sasa ivi tunavyoochatika JF ina msaada mkubwa sana kwa TZ ni hivyo si mambo yote hua yanawekwa hadharani but ni rafiki mzuri tu.
Hata wakiongea maneno matupu hayavunji mfupaViongozi wetu wa Afrika wanakaa kimya juu ya vita ya Urusi na Ukraine kwasababu wanaogopa watanyimwa misaada.
Tusaidie link mkuu tuishushe toka ilipoMada tajwa hapo juu ni juu ya hawa African leaders.
Viongozi wetu wa Afrika wanakaa kimya juu ya vita ya Urusi na Ukraine kwasababu wanaogopa watanyimwa misaada.
Wataongea nini wakati wanaopigana ndio tunaowategemea. Nchi zinazo jitegemea tu ndio zinaweza kuongelea hiyo vita na kutoa ushauri.
Tegemezi marazote hukosa confidence ya kutoa mchango wake.
Ngoja habari kamili imo humu kwenye hii video.
View attachment 2141201
Kama kuna kiongozi humu utanisamehe najua inauma sana lakini huu ndio uhalisia.
Viongozi wa nchi za kiafrika hii meseji iwafikie. Byeeeee.
Nimeweka linkTusaidie link mkuu tuishushe toka ilipo