Uchaguzi 2020 Viongozi wetu wa CHADEMA Kanda ya Magharibi, mkoa wa Katavi na Wilaya ya Mlele hujuma mlizomfanyia Tundu Lissu kwa sababu tu ya pesa hazikubaliki

Uchaguzi 2020 Viongozi wetu wa CHADEMA Kanda ya Magharibi, mkoa wa Katavi na Wilaya ya Mlele hujuma mlizomfanyia Tundu Lissu kwa sababu tu ya pesa hazikubaliki

Ina maana Tundu na msafara wake wote hawaijui Tanzania?

Kila siku nasema chadema ni chama cha ajabu mno siku hizi. Tangu aondoke Dr slaa hawana malengo wala maono.

Hiki kilichobaki ni kulinda kikundi cha watu wenye nia ya kutetea maslahi binafsi kwa mgongo wa demokrasia
 
Kuna masuala ya intelijensia ya kiusalama pia. Yawezekana ndiyo sababu lkn ikaripotiwa kiutu uzima.
 
Kuna masuala ya intelijensia ya kiusalama pia. Yawezekana ndiyo sababu lkn ikaripotiwa kiutu uzima.

Ishu ya kiusalama Tundu akae kimya!!!!???? Tundu huyuhuyu tunayemjua!!? Afunge mdomo kabisaaaa asionge hadi Robatiamusitadamu asijue😎😎 NO
 
hahahahaha yamewafika hapaaa kila kona CCM ipo na bado mapema ikifika october tunakuja vitandani kwenu
1600537172356.png
1600537172356.png1600537172356.png
1600537172356.png
 
Jana Tarehe 18/09/2020 Mgombea wetu wa Urais TUNDU LISSU alikuwa na ratiba ya kufanya Kampeni katika Mkoa wetu wa Katavi maeneo ya Majimoto katika jimbo la Kavuu Wilaya ya Mlele na Mpanda MJINI katika jimbo la Mpanda...
Vipi msaliti amepotea njia??!!!
 
ni kweli Lissu alifka kirando ila alichoongea wananchi hawakuelew na hakutoa hoja akiwa rais atawasaidiaje wananchi katka kutatua changamoto zilizoelezwa na mgombea ubunge! Kiukwel watu hawKupenda! Na atakuwa kajipunguzia kura kwa jimbo hili
 
Hilo La Lisu kupotea njia wachawi wa Sumbawanga alipokuwa na mkutano walimpima Kama kweli Uraisi anauweza sababu kuwa Raisi ni pamoja na kutawala wachawi

Hivyo wakam test yeye na msafara wake wamewaona hamna kitu ndio maana walipotea barabara

Taarifa zilizoko Sumbawanga ni kuwa Lisu Hana uwezo wa kuwa Raisi kwa Test hiyo ya wana Sumbawanga ambayo kafeli
Naomba nikupe taarifa Tanzania iko mikononi Mwa Mungu na si wachawi
 
Back
Top Bottom