Vipi ikatokea Spika Tulia akija na mbinu mpya? Wamekata Rufaa, nasubiria majibu ya rufaa huku muda ukisogea mara 2025 hiyoo

Nimefurahi ktk mikutano yote ya CDM Kanda ya ziwa wamepuuza issue ya COVID 19,

CDM imeonyesha ukomavu, kuhangaika na siasa za mahakamani ni kupoteza muda,

Kujenga chama ground ni move nzuri sana.

Mungu ibariki TANZANIA,

Mungu ibariki CDM. Aamen.
Mungu ibariki CDM. Aamen.[emoji818][emoji817][emoji1545][emoji1752]
 
Ya sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…