Vipi ikatokea Spika Tulia akija na mbinu mpya? Wamekata Rufaa, nasubiria majibu ya rufaa huku muda ukisogea mara 2025 hiyoo

Vipi ikatokea Spika Tulia akija na mbinu mpya? Wamekata Rufaa, nasubiria majibu ya rufaa huku muda ukisogea mara 2025 hiyoo

Nimefurahi ktk mikutano yote ya CDM Kanda ya ziwa wamepuuza issue ya COVID 19,

CDM imeonyesha ukomavu, kuhangaika na siasa za mahakamani ni kupoteza muda,

Kujenga chama ground ni move nzuri sana.

Mungu ibariki TANZANIA,

Mungu ibariki CDM. Aamen.
Mungu ibariki CDM. Aamen.[emoji818][emoji817][emoji1545][emoji1752]
 
..kwa maelezo yake Spika Tulia ameji-commit kuwa, hukumu ikitoka atatekeleza, na mahakama haiwajibiki kumtumia makala au taarifa ya hukumu.

..wasiichezee mahakama kwasababu kunaweza kujengeka utamaduni wa kutoiamini mahakama, na kudharau maamuzi yake.
Ya sina
 
Back
Top Bottom