Vipi kwa wanawake waliotulia lakini hawapati wachumba wa kuwaoa, wenye uhaba wa kupendwa

Unaweza dhani hawaolewi kumbe nao wanamachaguo yao.Hata hivyo Malaya ndo wanaolewa sikuhizi....wajifunze kujichanganya...kujifungia ndani wataishia kuonwa na kaka zao tu.
 
Kuna mmoja ana sifa zote za kuitwa wife material achilia mbali uzuri aliobarikiwa nao mpaka jamii inayomzunguka inakili hilo lakini sasa, shetani akiamua kukujambia ni Mungu tu mwenye uwezo wa kufukuza huo ushuzi....
Daah 🀣🀣 eti kukujambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…