Daah π€£π€£ eti kukujambiaKuna mmoja ana sifa zote za kuitwa wife material achilia mbali uzuri aliobarikiwa nao mpaka jamii inayomzunguka inakili hilo lakini sasa, shetani akiamua kukujambia ni Mungu tu mwenye uwezo wa kufukuza huo ushuzi....
Mkuu Kuna mengine mengi include tombering capacity ina nafasi yakeOngeza asilimia za uchumi hadi 80
Katika kujichanganya huku na huku wakachukua nuksiUnaweza kufafanua kidogo rafiki?
Amini nakwambia mkuu, hakuna binadamu atakayeweza kutegua hilo tego bila God's intervention ππDaah π€£π€£ eti kukujambia
Kabisa vijana uchumi ngumu.Mbususu zimepanda bei ajira zinapungua lazima wanawake wapate shida
Hapa ndo kuna kuacha buku au aftatu ya mbogaWapo wapi hao wanawake jamani na mie nahitaji kuoa
Tupeane penzi mahiiiKumbe bas ngoja nianze kutoka na kuanza kujichanganya
Eti alichosema mtoa mada ni Kweli??Wasemaji wetu mmekuwa wengi sana, kwani shido nino?
Oya umemtinga kinoma πππππTupeane penzi mahiii
Oya sio poaaUkitaka ufaidi ndoa kwa sasa oa andasiksitini(16)
Hiyo research yake ya mchongoEti alichosema mtoa mada ni Kweli??
Tumia akili A GIRL OF THE GIRLSHiyo research yake ya mchongo
πππ kiasi bila kupoteza uhalisia wako maana unaweza kuvutia watu ambao si sahihiKumbe bas ngoja nianze kutoka na kuanza kujichanganya
kumbe Kuna watu wana misimamo ya kiboko haramu na hatujuiπππNi kweli lakini si kila mwanamke 30+ ambaye hajaolewa ni kwa sababu hajatulia au hana qualities za kuwa wife material. Wengine ni kama alivyosema mtoa mada
Ukiachana na wale wenye akili nyingi, independent na wana misimamo ya kiboko haram
Mana me niliskia Hakuna mwanamke ambay hatongozwi hata awe mbaya vpHiyo research yake ya mchongo
Usawa huu inawezekana kutokuwa na mtu ndiyo bahati yenyewe.ππππ
HahahaAmini nakwambia mkuu, hakuna binadamu atakayeweza kutegua hilo tego bila God's intervention ππ